klorokwini
JF-Expert Member
- Dec 2, 2009
- 8,648
- 5,140
Mi kwakuwa nimeshindwa kumchagua mmoja kati ya baba yangu, mama, yangu, mke wangu, na mabinti zangu wawili.
Na kwakuwa alkoholi ndiyo faraja yangu kuu na rafiki yangu kipenzi.
Basi mtu muhimu kwa sasa ni yule binti wa kaunta pale Etiennes Club. (Chaguo hili ni subjected to change kutegemea na hali halisi na wepesi wake wa kuniongezea kinywaji baridi)
hehehehe mkuu, hii ni besti kwoti ya JF for 2010, nitahakikisha unapata award kwa hii yuziful post.