Habari zenu waungwana!
Naomba mnaojua sababu zinazomfanya mtu aonekane mzee kuliko umri wake na jinsi ya kuzitatua,
Kwa mfano najua moja ni kunywa pombe kulikokithiri na solution ni kuacha au kupunguza pombe.Sasa wale wenye sababu nyingine ukiacha hii nilioitoa naomba mnijuze.
Mbarikiwe.
Naomba mnaojua sababu zinazomfanya mtu aonekane mzee kuliko umri wake na jinsi ya kuzitatua,
Kwa mfano najua moja ni kunywa pombe kulikokithiri na solution ni kuacha au kupunguza pombe.Sasa wale wenye sababu nyingine ukiacha hii nilioitoa naomba mnijuze.
Mbarikiwe.