Mtu katili zaidi duniani

Mtu katili zaidi duniani

Status
Not open for further replies.

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
ImageUploadedByJamiiForums1425469387.136083.jpg

Jina lake halisi ni Mohamed Emwazi ni kijana wa umri 26 ni raia wa uwingereza aliekulia kuwait na kupata elimu yake ya shahada ya kompyuta uko kabla ya kurudi Uingereza, kwa mujibu wa majarida mbali mbali yamemtaja mtu huyu ndio katili zaidi duniani, akijulikana kama Jihad John. Ndani ya kundi la IS amekuwa akitekeleza mauaji kwa kuwakata vichwa mateka wa mataifa mabalimbali, hawa ni miongoni mwa mateka aliowakata vichwa kwa mkono wake

ImageUploadedByJamiiForums1425469792.403033.jpg

Akiwa huko alipopata elimu yake Kuwait, alikuwa mtoto mwenye nidhamu, mpole na uwezo wa akili sana darasani, kwa mujibu wa walimu na rafiki yake (class mate) ambae hakutaka jina lake litajwe.

ImageUploadedByJamiiForums1425469977.553120.jpg

Mama yake alipohojiwa kutoka nyumbani kwake alidai mtoto wake mara ya mwisho alimpigia simu 2013 kwamba alielekea Syria kujiunga na mashirika ya kujitolea ya kibinadamu.

ImageUploadedByJamiiForums1425470198.419486.jpg

Haya ni makazi ya familia ya Mohamedi Emwazi huko Uingereza

Mama yake aliongeza kuwa aligundua mwanae kajiunga na kundi hilo hatari duniani pale alipoigundua sauti yake katika video ya mateka iliotolewa na kundi hilo mwanzoni mwa mwaka 2014, mtu huyu anaetafutwa na mataifa makubwa hapa duniani, Marekani imetoa dau la US Dollar milioni mia 700 kwa ataefanikisha kukamwatwa kwa IS executioner huyu, pia inasemekana kwamba mwishoni mwa mwaka 2009 aliwahi kutembelea nchi mojawapo ya Afrika Mashariki kwa mujibu wa data za kiusalama

ImageUploadedByJamiiForums1425470584.802304.jpg

ImageUploadedByJamiiForums1425470678.903396.jpg
Katili huyu hajaoa, pia si muumini wa dini ya Uislam ingawa hupendelea kuvaa mavazi yake

ImageUploadedByJamiiForums1425470742.819931.jpg
Kwa munibu wa mama yake alipohojiwa kutoka makazi yake
 
Ww mtoa mada hujui ama unachanganya madawa????? Huyo mpumbavu alizaliwa kuwait(1988) na walihamia Britain(1994) na wazazi wake na akasoma IT kwny chuo kimoja pale pale uingereza then akaenda syria.
 
Ww mtoa mada hujui ama unachanganya madawa????? Huyo mpumbavu alizaliwa kuwait(1988) na walihamia Britain(1994) na wazazi wake na akasoma IT kwny chuo kimoja pale pale uingereza then akaenda syria.

Mkuu huyo mchinjaji anaamini dini gani?
 
Ukimkamata unapewa $ milion 700? Kazi kwenu ma bounty hunters
 
watu ni wapumbavu eti sio muislamu ila anapenda kuvaa madera huko kuwait alizaliwa kwenye familia ya wayahudi au na iweje awachinje makafiri na wasiokuwa waislamu wakati yeye mwenyewe sio muislamu???
 
"anapendelea kuvaa mavazi ya kiislamu"....mmhh inahitaji ugali wa ziada tumboni kuelewa hii kauli...mkuu tamimusalim mavazi ya kiislamu ni yepi??
 
Last edited by a moderator:
Unaweza kuogopa hata kuchangia jamaa nilirushiwa moja ya video yake da sijaweza kuimaliza hata nusu
 
Mie nilidhani ni huyu......

CHENGE2.jpg


Au huyu Idi Simba.


SAM_2091.JPG
 
Mbona hujaandika MI5 walitaka kumrecruit na moja ya sababu ya yeye kukimbia UK ni frustruation ya hao jamaaa!!!
 
wewe kuna makatili zaidi yake hapahapa tz tena mengine yakaenda na mugunia, maboksi na lumbesa benki kubeba mpunga wa wananchi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom