Mtu anayetuhumiwa na kushtakiwa mahakamani ana haki kupata Wakili hata kama anatuhumiwa kwa mauaji

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Mtu yeyote anayetuhumiwa na kushtakiwa mahakamani ana haki ya kupata Wakili hata kama anatuhumiwa kwa mauaji. Hii ni kwa sababu tuhuma peke yake hazimuweki mtu hatiani (a mere suspicion can not convict somebody to be guilt). Mtuhumiwa sio mkosaji hadi pale mahakama itakapotoa hukumu. Ndio maana kuna watu wanatuhumiwa na wakifikishwa mahakamani wanaachiwa huru kwa kuonekana hawana hatia.

Kila mtuhumiwa ana haki ya kisheria ya presumption of innocence until proven guilt by cou...rt of Law. Sasa unamshangaaje Lissu kumtetea Wema? Tena mtu anabana pua kama mgonjwa wa ndui eti Lissu anamtetea mtumiaji madawa ya kulevya. Yani watu wengine huhitaji degree kujua walikosa chanjo utotoni. Yani umeshamhukumu Wema kuwa ni mtumiaji wa dawa za kulevya kabla hata mahakama haijasikiliza kesi??

Yani unadhani watuhumiwa wa madawa ya kulevya hawahitaji mawakili wa kuwatetea? Kama watuhumiwa wa mauaji wanatetewa sembuse wa madawa? Eti watu wanajaribu kumfundisha Lissu Sheria. Mna wazimu?? Lissu huyuhuyu gwiji wa sheria aliyemtetea Rais Zuma kwenye tuhuma za kubaka na Zuma akashinda kesi? Lissu huyuhuyu ambaye akikosekana bungeni siku moja mambo yote ya kisheria yanakwama?

Lissu huyuhuyu ambaye hadi Rais wa nchi anamhofia kugombea TLS? Ndo aje afundishwe sheria na wewe uliyesomea kozi ya mapishi ya miezi sita hapo Yombo Buzza kwa mama Kibonge?? U cant be serious brother. Amin, amin nakuambia ukiacha mlima Kilimanjaro, ukiacha madini ya Tanzanite, ukiacha Mbuga za wanyama, kitu kingine kikubwa cha kujivunia Tanzania ni Tundu Antipas Lissu. Plz be informed.!

Malisa GJ
 
Hakuna mtu anaekataa mtuhumiwa kupata wakili wa kumtetea MAHAKAMANI.....tunachoshangaa ni CHADEMA kutumia hii fulsa kujinufaisha KISIASA kwa aina ya watu inayowatetea...na wao kujisahau ya kuwa hili linawapa DOA kubwa sana
Lets be honest unashindwa vipi kutetea watu ambao they cant even afford kumlipa mwanasheria binafsi and they have the same case as WEMA...unaenda tetea mtu ambaye ni public figure anafanya ujinga wa kujitakia mwenyewe wa KUVUTA BANGI and she can even afford to have her own lawyer away from LISSU....Me ningefurahi na kuona LISSU anamaanisha kwenye hili iwapo tu angeanzisha kampeni ya kutetea wasio nacho wenye kesi mahakamani.....
CHADEMA MKUBALI MKATAE IMAGE YENU KWA SASA KWA WANANCHI NI CHAFU MNO....Kingne na kuhakikishia WEMA atarudi CCM
 
Hakuna mtu anaekataa mtuhumiwa kupata wakili wa kumtetea MAHAKAMANI.....tunachoshangaa ni CHADEMA kutumia hii fulsa kujinufaisha KISIASA kwa aina ya watu inayowatetea...na wao kujisahau ya kuwa hili linawapa DOA kubwa sana
maigizo yanayofanya na Rc ma Dc je hayo nikwafaida ya nani? mkuki kwa nguruwe kwa binadamu
 
daaaah kumbe nachadema mmeanza kutengeneza vijana kama wale jamaa wa lumumba eeeeh yan mtu anmsifia mtu anamsahau mapka mamake au babake kama yupo tanzania na nibora kwake kuliko yoyote
 
daaaah kumbe nachadema mmeanza kutengeneza vijana kama wale jamaa wa lumumba eeeeh yan mtu anmsifia mtu anamsahau mapka mamake au babake kama yupo tanzania na nibora kwake kuliko yoyote
hoja hii imekuzidi kimo
 
Hakuna mtu anaekataa mtuhumiwa kupata wakili wa kumtetea MAHAKAMANI.....tunachoshangaa ni CHADEMA kutumia hii fulsa kujinufaisha KISIASA kwa aina ya watu inayowatetea...na wao kujisahau ya kuwa hili linawapa DOA kubwa sana
Lets be honest unashindwa vipi kutetea watu ambao they cant even afford kumlipa mwanasheria binafsi and they have the same case as WEMA...unaenda tetea mtu ambaye ni public figure anafanya ujinga wa kujitakia wa KUVUTA BANGI and she can afford to have any lawyer away from LISSU....
CHADEMA MKUBALI MKATAE IMAGE YENU KWA SASA KWA WANANCHI NI CHAFU MNO
fulsa _fursa ... hebu kojoa ulale ...mana umepaniki ..wema ndo kamchagua Lissu kulingana na hela yake je ulitaka Lissu aache hela kisa???? endeleeni kulia lia tu 2020sijui nyimbo atatunga nani maana mnayemtegemea tayari ni marehemu,pil mama ongea na mwanao hayupo ....mnatia huruma ila msijali Mrema tumewapa buree kabisa
 
mawahabari -
ukweli ni kwamba hii ya kupokea watu wanaotambulika na nchi nzima kwa sababu walitangazwa hadharani, endapo itabainika kuwa ni kweli chama kitapata doa.
 
Mtu yeyote anayetuhumiwa na kushtakiwa mahakamani ana haki ya kupata Wakili hata kama anatuhumiwa kwa mauaji. Hii ni kwa sababu tuhuma peke yake hazimuweki mtu hatiani (a mere suspicion can not convict somebody to be guilt). Mtuhumiwa sio mkosaji hadi pale mahakama itakapotoa hukumu. Ndio maana kuna watu wanatuhumiwa na wakifikishwa mahakamani wanaachiwa huru kwa kuonekana hawana hatia.

Kila mtuhumiwa ana haki ya kisheria ya presumption of innocence until proven guilt by cou...rt of Law. Sasa unamshangaaje Lissu kumtetea Wema? Tena mtu anabana pua kama mgonjwa wa ndui eti Lissu anamtetea mtumiaji madawa ya kulevya. Yani watu wengine huhitaji degree kujua walikosa chanjo utotoni. Yani umeshamhukumu Wema kuwa ni mtumiaji wa dawa za kulevya kabla hata mahakama haijasikiliza kesi??

Yani unadhani watuhumiwa wa madawa ya kulevya hawahitaji mawakili wa kuwatetea? Kama watuhumiwa wa mauaji wanatetewa sembuse wa madawa? Eti watu wanajaribu kumfundisha Lissu Sheria. Mna wazimu?? Lissu huyuhuyu gwiji wa sheria aliyemtetea Rais Zuma kwenye tuhuma za kubaka na Zuma akashinda kesi? Lissu huyuhuyu ambaye akikosekana bungeni siku moja mambo yote ya kisheria yanakwama?

Lissu huyuhuyu ambaye hadi Rais wa nchi anamhofia kugombea TLS? Ndo aje afundishwe sheria na wewe uliyesomea kozi ya mapishi ya miezi sita hapo Yombo Buzza kwa mama Kibonge?? U cant be serious brother. Amin, amin nakuambia ukiacha mlima Kilimanjaro, ukiacha madini ya Tanzanite, ukiacha Mbuga za wanyama, kitu kingine kikubwa cha kujivunia Tanzania ni Tundu Antipas Lissu. Plz be informed.!

Malisa GJ
Hapo mwishoni hivyooooo
 
Hakuna mtu anaekataa mtuhumiwa kupata wakili wa kumtetea MAHAKAMANI.....tunachoshangaa ni CHADEMA kutumia hii fulsa kujinufaisha KISIASA kwa aina ya watu inayowatetea...na wao kujisahau ya kuwa hili linawapa DOA kubwa sana
Lets be honest unashindwa vipi kutetea watu ambao they cant even afford kumlipa mwanasheria binafsi and they have the same case as WEMA...unaenda tetea mtu ambaye ni public figure anafanya ujinga wa kujitakia mwenyewe wa KUVUTA BANGI and she can even afford to have her own lawyer away from LISSU....Me ningefurahi na kuona LISSU anamaanisha kwenye hili iwapo tu angeanzisha kampeni ya kutetea wasio nacho wenye kesi mahakamani.....
CHADEMA MKUBALI MKATAE IMAGE YENU KWA SASA KWA WANANCHI NI CHAFU MNO

binafsi unanufaika na nn sasa? hata hicho chama chako umepata nn binafsi. masikini mnajua ushabiki njaa

mwanao hadi dafutari ya mia mbili hana, upuuzi
 
Creative minds have always been known to survive any kind of bad training
by :Anna Freud

go Lissu ,wataelewa tu
 
Back
Top Bottom