UPOPO
JF-Expert Member
- Dec 17, 2010
- 3,696
- 6,045
Habari zenu wakuu!huwa nasikitika sana kila wakati nikiwa napita hapa maeneo ya Victoria unamkuta mtu kakaa katikati ya barabara huku akiomba na pia inaonekana ana matatizo ya akili.
Je hakuna mamlaka zinazousika kuakikisha usalama wake !na waendesha Magari!
Mimi kama mzazi kama kuna wahusika basi wasaidie kumwondoa huyu mtu ili kutoatarisha maisha yake na watu wengine.Ni hayo tu
Je hakuna mamlaka zinazousika kuakikisha usalama wake !na waendesha Magari!
Mimi kama mzazi kama kuna wahusika basi wasaidie kumwondoa huyu mtu ili kutoatarisha maisha yake na watu wengine.Ni hayo tu