Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 7,323
- 12,878
Habarini wakuu. Kumekuwa na imani potofu kuwa mtu anayeharisha hatakiwi kutumia vitu kama soda na juisi. Utasikia, "Usimpe soda huyo anaharisha."
Ukweli ni kinyume chake. Mtu anayeharisha anapoteza madini nw maji mengi sana. Na mara nyingi hii ndiyo hupelekea kufa, hasa kwa watoto. Kwa hiyo mtu anayeharisha anatakiwa kurudishiwa maji na chumvi anazopoteza kwa njia yoyote ile. Kama ni "Oral", juisi, soda nk nk.
Kwa hiyo basi, mtu anayeharisha inashauriwa apewe soda. Na si kumkataza kama ilivyozoeleka.
Ukweli ni kinyume chake. Mtu anayeharisha anapoteza madini nw maji mengi sana. Na mara nyingi hii ndiyo hupelekea kufa, hasa kwa watoto. Kwa hiyo mtu anayeharisha anatakiwa kurudishiwa maji na chumvi anazopoteza kwa njia yoyote ile. Kama ni "Oral", juisi, soda nk nk.
Kwa hiyo basi, mtu anayeharisha inashauriwa apewe soda. Na si kumkataza kama ilivyozoeleka.