Mtu anasaidiwa kweupeee....!!

Mtu anasaidiwa kweupeee....!!

Ligogoma

JF-Expert Member
Joined
Aug 27, 2010
Posts
3,502
Reaction score
6,444
Habari JF,
Ofisi iko juu, floor kadhaa sasa nyuma kuna mtaa!! Kuna mojawapo ya nyumba iko vizuri sana ila wakaamua kujenga nyumba ya uani, kwa sasa ipo kwenye 'linta' haijapauliwa bado.

Mchezo uko hivi: Katika hii nyumba kuna mama mtu mzima sana japo yupo fresh tu, muda kuanzia saa nne asubuhi kuna kijana anafika kwenye hii nyumba (kama 23-26 years) akiwa na baskeli yake.

Yule mama huchukua kigodoro ndani wanaweka kwenye nyumba isiyokamilika na kuanza kufanya ngono hapo!!

Leo nimeshughudia mara ya tatu live, mwanzo mwisho kuanzia saa nne na dakika ishirini hadi saa nane nimeenda lunch nimeacha dogo anapiga mzigo kama anatafuta rupia!! Akipumua dogo dakika tano tu yupo mzigoni tena, hatari sana.

Hii ni salamu kwenu msioweza kushughulikia wake zenu, mwenyewe nimepandwa na hasira kama ni mke wangu vile.

Viserengeti punguzeni hasira wake zetu tumeoa kwa mamilioni jamani

Nawasilisha
 
Mtaa gani? Weka picha!
Kwa muda wote huo wanapeana uroda juani?
 
Tunapendwa kwa izoizo hasira na hatuzipunguzi kamwe

sent from my iPhone 7 nimeinunua SAPNA pale Posta mtaa SAMORA
 
Habari JF,
Ofisi iko juu, floor kadhaa sasa nyuma kuna mtaa!! Kuna mojawapo ya nyumba iko vizuri sana ila wakaamua kujenga nyumba ya uani, kwa sasa ipo kwenye 'linta' haijapauliwa bado.

Mchezo uko hivi: Katika hii nyumba kuna mama mtu mzima sana japo yupo fresh tu, muda kuanzia saa nne asubuhi kuna kijana anafika kwenye hii nyumba (kama 23-26 years) akiwa na baskeli yake.

Yule mama huchukua kigodoro ndani wanaweka kwenye nyumba isiyokamilika na kuanza kufanya ngono hapo!!

Leo nimeshughudia mara ya tatu live, mwanzo mwisho kuanzia saa nne na dakika ishirini hadi saa nane nimeenda lunch nimeacha dogo anapiga mzigo kama anatafuta rupia!! Akipumua dogo dakika tano tu yupo mzigoni tena, hatari sana.

Hii ni salamu kwenu msioweza kushughulikia wake zenu, mwenyewe nimepandwa na hasira kama ni mke wangu vile.

Viserengeti punguzeni hasira wake zetu tumeoa kwa mamilioni jamani

Nawasilisha
Hongera unajua kutunga story
 
Habari JF,
Ofisi iko juu, floor kadhaa sasa nyuma kuna mtaa!! Kuna mojawapo ya nyumba iko vizuri sana ila wakaamua kujenga nyumba ya uani, kwa sasa ipo kwenye 'linta' haijapauliwa bado.

Mchezo uko hivi: Katika hii nyumba kuna mama mtu mzima sana japo yupo fresh tu, muda kuanzia saa nne asubuhi kuna kijana anafika kwenye hii nyumba (kama 23-26 years) akiwa na baskeli yake.

Yule mama huchukua kigodoro ndani wanaweka kwenye nyumba isiyokamilika na kuanza kufanya ngono hapo!!

Leo nimeshughudia mara ya tatu live, mwanzo mwisho kuanzia saa nne na dakika ishirini hadi saa nane nimeenda lunch nimeacha dogo anapiga mzigo kama anatafuta rupia!! Akipumua dogo dakika tano tu yupo mzigoni tena, hatari sana.

Hii ni salamu kwenu msioweza kushughulikia wake zenu, mwenyewe nimepandwa na hasira kama ni mke wangu vile.

Viserengeti punguzeni hasira wake zetu tumeoa kwa mamilioni jamani

Nawasilisha
Hongera unajua kutunga story
 
Habari JF,
Ofisi iko juu, floor kadhaa sasa nyuma kuna mtaa!! Kuna mojawapo ya nyumba iko vizuri sana ila wakaamua kujenga nyumba ya uani, kwa sasa ipo kwenye 'linta' haijapauliwa bado.

Mchezo uko hivi: Katika hii nyumba kuna mama mtu mzima sana japo yupo fresh tu, muda kuanzia saa nne asubuhi kuna kijana anafika kwenye hii nyumba (kama 23-26 years) akiwa na baskeli yake.

Yule mama huchukua kigodoro ndani wanaweka kwenye nyumba isiyokamilika na kuanza kufanya ngono hapo!!

Leo nimeshughudia mara ya tatu live, mwanzo mwisho kuanzia saa nne na dakika ishirini hadi saa nane nimeenda lunch nimeacha dogo anapiga mzigo kama anatafuta rupia!! Akipumua dogo dakika tano tu yupo mzigoni tena, hatari sana.

Hii ni salamu kwenu msioweza kushughulikia wake zenu, mwenyewe nimepandwa na hasira kama ni mke wangu vile.

Viserengeti punguzeni hasira wake zetu tumeoa kwa mamilioni jamani

Nawasilisha
Kwahiyo zile CD siku hizi haununui tena Mzee??, mana unaangalia kitu Mubasharah.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
  • Thanks
Reactions: SDG
Back
Top Bottom