Ng'wanamangilingili
JF-Expert Member
- Aug 22, 2015
- 5,791
- 4,878
Mnyazi Mungu anaowachukia ghalfa vifo manake hawapendi?Ila JPM kama dk chache kabla ya kufa alifanya huduma ya maombi , mwamba sku ya mwisho kuna hatari akasepa mbinguni ππ...mana calculation za Mungu za ajabu sana , kukufutia issue zako za nyuma ni swala la robo sekunde tuu...! Nafas za wachache Sana hzo , za kujua it is almost home tyme duuh... Wengine tutakufa ghafla kabla hata hatujawekana Sawa na Mungu wetu ...
Usipo mjua Yesu mbingu anza kujenga yako tena mjiunge kakikundi kabisa.. Ila ukimuamini Basi mbingu yakwako..hushauriwi kuwa mwovu ila ukiwamwisho Wa uhai ukatubu na kukiri Yesu Basi umeponea chupuchupu kuingia motoni ila nje ya hapo kwny msiba waasie amini itabidi wachungaji au mapadre wadanganye sana wakialikwa mazishini hapoMnyazi Mungu anaowachukia ghalfa vifo manake hawapendi?
Na je wasioenda church au hawajui habari hizi za Jesus nafasi yao ikoje kwa hili?
Kama kila mtu angekua akiumwa anajua atattubu kwa ivo afanye maovu tu duniani?
Mkuu swala la wokovu ni tofauti kabisa na fikra za kibinadamu ni tofaut kabisa na kuhudhiria kanisan ama msikitini ni tofaut kabisa na kuwa kiongozi wa dini , ni mahusiano yako na Mungu ndani kabisa ya Moyo wako boss, kinachoangaliwa ni Nia ya dhati ya toba basi, na sio toba ya juu juu , toba ya that ya Moyo na kusikitikia maovu .... Kwa sababu moyo ( hapa nazungumzia mindset sio Moyo nyama inayodunda) ndo unaotamka hvyo huwez kudanganya .....Mnyazi Mungu anaowachukia ghalfa vifo manake hawapendi?
Na je wasioenda church au hawajui habari hizi za Jesus nafasi yao ikoje kwa hili?
Kama kila mtu angekua akiumwa anajua atattubu kwa ivo afanye maovu tu duniani?
Umenena yananiingia kwa mbali!Mkuu swala la wokovu ni tofauti kabisa na fikra za kibinadamu ni tofaut kabisa na kuhudhiria kanisan ama msikitini ni tofaut kabisa na kuwa kiongozi wa dini , ni mahusiano yako na Mungu ndani kabisa ya Moyo wako boss, kinachoangaliwa ni Nia ya dhati ya toba basi, na sio toba ya juu juu , toba ya that ya Moyo na kusikitikia maovu .... Kwa sababu moyo ( hapa nazungumzia mindset sio Moyo nyama inayodunda) ndo unaotamka hvyo huwez kudanganya .....
Mkuu ukianza kusema fulan aliua , sjui fulan alifanya hivi ...yaan hata wewe hapo Mungu angekuwa na Akli kama zetu usingekuwepo ,mana umefanya maovu mengi sema Tu Kwa vile hauna popularity ndo mana wanazengo hatuhajui na hata tukiyajua hayawezi kutupotezea mda .....
Nakupa mfano mmoja wa kwenye biblia ndo ujue sasa calculation za Mungu ni amazing.... Mfalme Manase ni moja ya wafalme waovu kuwahi kutokea , inasemekana jamaa alifikia hatua ya kufanya uzinzi kwenye hekalu , anaanzisha ibada ya mashetani , nabii isaya alipomkemea mfalme manase alimkamata na kumuua , .... Na jamaa akatawala mda mrefu kuliko hata mfalme mwema Daudi , zaidi ya miaka 50 jamaa lipo Ikulu na maovu yake ....
Mwisho ufalme ukashambuliwa na maadui mshikaji akakamatwa i , akateswa Sana...akiwa gerezani akamrudia Mungu , jamaa akaomba aisee , biblia inatamaka wazi kabisa kwamba Mungu akamsikia .... Manase alikufa akiwa na Tumaini la wokovu , jiulize sasa mtu aliyefanya maovu vile but with in a second anarudi kwenye mstari....
Tuachane na huyo Yule mwizi msalabani , dk ya mwisho kabisa jamaa anasepa .....
Mambo ya hukumu mwachieni mwenye kutoa hukumu.Usipo mjua Yesu mbingu anza kujenga yako tena mjiunge kakikundi kabisa.. Ila ukimuamini Basi mbingu yakwako..hushauriwi kuwa mwovu ila ukiwamwisho Wa uhai ukatubu na kukiri Yesu Basi umeponea chupuchupu kuingia motoni ila nje ya hapo kwny msiba waasie amini itabidi wachungaji au mapadre wadanganye sana wakialikwa mazishini hapo
Nimesema ukweli hata sija hukumu. Wala sijatishia ila nilichosema nikweli. Kuamini niuamuzi wako MTU binafsi nakama unadhani mtuakisema ukishika moto utaungua kama utahisi nivitisho wewe shika hapa lazima ukweli tuambiane bila hayaMambo ya hukumu mwachieni mwenye kutoa hukumu.
Suala la nani ataenda mbinguni na nani hataenda si lako.
Ww hubiri usitoe hongo ya mbingu na kutishia watu moto ili wawe upande wako.
Dunia ina watu b7 au 8b na wote wana miongozo tofauti ya namna ya kwenda mbinguni na wanavitabu vitakatifu.
Sawa vipi kama hoja yako ndio false doctrine?Unaruhusa kamili ya kuchangia maoni yako ila sio umuelekeze MTU Fulani na nimetoa mada hiyo kuwa eleza ukweli ulivyo kuepukka false doctrine za wapotoshaji..
Nimeshindwa Hata kuendelea kuisoma article yake'Jf nowdays....
Ume uliza swali au umetoa conclusion?
Nilidhani unakaribisha watu kwenye mjadala wa kujibu swali lako
Ungepata mchango mzuri Wenda kuliko hicho ulichoandika hapo
Leta hoja yako kama umeshindwa Basi..maana najua watu wajamii yako mpo wengi sana nanafahamu huwa mnaongea nini kwenye hoja zenu maana hamna point zamaana ila mnakawaida ya kuegemea kwenye dini zenu na ndio maana niliandika kwa mfumo wakuzuia watu kama wewe na kundi lakoSawa vipi kama hoja yako ndio false doctrine?
Kwasababu haiendani na false doctrine uliyokwisha mezeshwa na hutaki kusikia zaidi kalili ghost boss usisome maandiko yangu wala Ku replyNimeshindwa Hata kuendelea kuisoma article yake'
Kwahy roho za wanyama znaendaga wpMTU anaishi baada ya kufa?
Mara nyingi kume kuwa na mafundisho mengi ya upotoshaji, nazaidi wengi wao wakifanya kama alivyo Fanya shetani kutumia maandiko matakatifu kumjaribu Yesu mwanawa Mungu. Tumeona na kusikia habari mbali mbali juu ya nini utokea baada ya kifo.
Mara nyingi tumesikia MTU aliyekufa hajui lolote wengine ukifananisha kifo na usingizi.. Sasa tujiulize nini kinatoa uhai yaani kipi kinachofanya mwili uwe na utendaji? Imeandikwa Mungu baada ya kuumba mwili aliupulizia pumzi ya uhai. pumzi ya uhai ninini? Pumzi ya uhai ni roho... roho ndio itiayo uzima na roho ndio uhai kamili.
MTU hufa kwa sababu roho inapofika kikomo cha kuendelea kukaa ndani ya mwili dhaifu.. Roho inauhai na haina udhaifu ila mwili sio hai na nidhaifu.
Mwili unapokuwa umechoka sana na hauwezi kufanya tena Kazi zinazo amriwa na roho... Hapo roho utoka ndani ya mwili na kifo ndio hutokea... Baada ya roho kutoka katika mwili uendelea kuishi kwa nyakati zote kwakua Mungu alipotuumba tu alitupa umilele kwa kutujalia roho isiyo kufa... Pale bustanini kulikuwa na mti Wa uhai na kifo...
Mti Wa kifo ulikuwa maalumu ya kuharibu utdndaji Kazi Wa mwili na hivyo kulelekea mwili kushindwa kuendelea na utendaji na kupelekea kifo.. Ukiwa msomaji mzuri Wa biblia utaungana nami mkono pale Yesu aliposema roho ilazi lakini mwili ni dhaifu.. Alielezea jinsi gani mwili na roho vilivyovitu viwili tofauti
Roho ndio uhai..asiye elewa ajiulize. Nini kinafanya MTU aongee? Na nini ninafanya ashindwe kuongea au nini kinafanya MTU apumue na kipi kinafanya ashindwe? Kwa maana MTU hufa na hewa ikiwa imezunguka eneo lake lakini kwanini anakufa? Ndio maana nasema MTU hufa pale mwili unaposhindwa kutekeleza kile roho inachotaka kifanyike.
Je! Kuna uhai baada ya kifo....? Jibu ni ndio duniani mwili aupo ila roho IPO... Ushawahi kujiuliza kwanini wanaita mwili Wa .... Nasio Fulani? Jiulize mwenye mwili yupo wapi? Ukweli ni kuwa yupo mahali Fulani amekaa anaangalia na anaishi ila hana Kazi tena na mwili wake maana hauwezi tena...
Ndio maana tunaambiwa baada ya kufufuliwa tutapewa miili mipya isiyo na udhaifu ili isijeikashindwa Kazi roho ikaiacha tena..
Tunakufa kwakuwa mwili hauwezi kitu hapa ndio pale msemo Wa wafu awajui lolote unakuja..ishu ya wafu ni mwili ila roho ambaye ni Mimi nitasikia kwa wanadamu na eidha kwa wenzangu Wa roho eti kuwa nimekufa ila kimsingi nipo hai ila bila mwili..Leo tuishie hapa tupate mmeng'enyo wayale tuliyosoma
Nini tofauti kati ya roho na nafsi mkuu?eti roho haifi,upagani huo roho hupatikana baada ya mwili kupuliziwa pumzi ya uhai hivyo roho ni muunganiko wa pumzi ya uhai na mwili,pumzi ya uhai inapomtoka mtu inarudi kwa aliye itoa kwa hiyo roho inakuwa imevunjika kwani Ni matokeo ya muunganiko wa pumzi na mwili,kufundisha roho haifi Ni kukubaliana na shetani aliye sema hutakufa hakika.
Ziliko andaliwa makazi
Sheria ipo hivi ili usamehewe ni lazima utubu hadharani mbele za hao uliowafanyia dhambi ili zisafishwe kabla hujaitwa rasmi na islael mtoa roho... huwezi kujifungia ndani ukamwita paroko eti unatubu - hiyo haipo..Ila JPM kama dk chache kabla ya kufa alifanya huduma ya maombi , mwamba sku ya mwisho kuna hatari akasepa mbinguni ππ...mana calculation za Mungu za ajabu sana , kukufutia issue zako za nyuma ni swala la robo sekunde tuu...! Nafas za wachache Sana hzo , za kujua it is almost home tyme duuh... Wengine tutakufa ghafla kabla hata hatujawekana Sawa na Mungu wetu ...
Hapo kinakuwa kimeumana..π€£Yeye amepata bahati na upendeleo wa Mungu kwa kweli.....
Mara Paap tuliobaki tunakufa halafu unamkuta mlangoni yeye ndio anakuonyesha pa kukaa πββοΈπββοΈπββοΈ