Lee Napoleon
JF-Expert Member
- Feb 1, 2013
- 896
- 566
Mwenye uzoefu na risasi inaeza kukona hivi ikipgwa juu? Au askari wetu wanatuona mabwege
mbona cjaona unacholenga, wakanda question is thatHujasikia kuwa waandamanaji walikuwa ana silaha za moto na za asili?
Mwenye uzoefu na risasi inaeza kukona hivi ikipgwa juu? Au askari wetu wanatuona mabwege
For real, imenipa headache sana... Maana ilimkwatua konda ikaenda kumpga huyu marehem na ilipitia mbele ya gar, ikaua mtu alokaa back bench, hii ilipgwa juu kweli?Physicists wanatakiwa kukaa chini tena na kuchunguza motions na gravity hasa katika namna ya ufyatuaji wa bunduki wa askari polisi wa Tanzania.
Kwa ufafanuzi zaidi fika ofisini kwa Mambonowmbona cjaona unacholenga, wakanda question is that
For realKipanya ni mtu mmoja mwenye akili sana aisee, yaan namfananisha na James gayo