Mtoto wangu wa miaka 4 kutapika baada ya kula

MIGUGO

JF-Expert Member
Dec 3, 2011
2,131
3,912
Mtoto wangu wa kiume wa miaka minne sijui ana shida gani maana hapendi kula na akila hutapika unapomlazimisha.

Tumempeleka hospital hakuna cha zaidi ya kumpa dawa za vitamin.

Amechangamka anacheza vizuri ila linapokuja swala la kula ni mtihani kwake.

Vyakula tunavyompa ni vya kawaida tunavyokula wanafamilia ndizi, wali,ugali,mkate, matunda nk. Uji pia wa lishe pia.

Anapenda vinywaji artificial soda,juice ambavyo mi wenyewe na mamake huwa hatumpi.

Tafadhali naomba msaada
 
hilo la kutapika ndio sjui lakini mama ake anampaje chakula?? asimkabe kisijempalia mkakosa mtoto, ajaribu kumuwashia tv aweke katuni mtoto atakula kama anakula huku anacheza mama inabii awe mpole afate hivohivo

miaka minne ni mingi mtoto kugoma kula jamani hebu mpelekeni hospital kubwa wamwangalie digestive system yake kwan alivokua mdogo alikua ni hivo hivo au
 
hilo la kutapika ndio sjui lakini mama ake anampaje chakula?? asimkabe kisijempalia mkakosa mtoto, ajaribu kumuwashia tv aweke katuni mtoto atakula kama anakula huku anacheza mama inabii awe mpole afate hivohivo

miaka minne ni mingi mtoto kugoma kula jamani hebu mpelekeni hospital kubwa wamwangalie digestive system yake kwan alivokua mdogo alikua ni hivo hivo au
Ahsante kwa kumpa muongozo
 
Ahsante kwa kumpa muongozo
mimi wangu anakimbilia three good years lakini hapo kwenye kula, ukitaka ale mle wote yan pakua sahani yako yeye muekee yake hapo atakula useme nna kaz ngoja nimuwashishe ale hagusi hata tonge na alivokua mdogo alikua ukimpakata hali kwa hio akienda huku nampa kijiko akirudi huku ana kijiko mpaka anamaliza yan uvunje kazi kweli kweli
 
hilo la kutapika ndio sjui lakini mama ake anampaje chakula?? asimkabe kisijempalia mkakosa mtoto, ajaribu kumuwashia tv aweke katuni mtoto atakula kama anakula huku anacheza mama inabii awe mpole afate hivohivo

miaka minne ni mingi mtoto kugoma kula jamani hebu mpelekeni hospital kubwa wamwangalie digestive system yake kwan alivokua mdogo alikua ni hivo hivo au
Anakula mwenyewe kwenye sahani yake. Na hata muda mwingine anakula na mtoto mwenzie lakini huyo mwenzake atakula kingi kuliko yeye. Tatizo ni la muda mrefu
 
Anakula mwenyewe kwenye sahani yake. Na hata muda mwingine anakula na mtoto mwenzie lakini huyo mwenzake atakula kingi kuliko yeye. Tatizo ni la muda mrefu
huyo mtoto huko nyuma mama ayake alikua anampaje chakula?? anamkaba?? anampa ale akiskataa anamuacha?? anamuacha ale hata kama masaa sita bila kumtaftia mbinu?? tafteni kile kitu anachokipenda like ukila ukimaliza nitakupa zawadi hio aipendayo mind you umpe kweli la sivo atajenga mazoea


weka katuni mpe chakula, ukiwa namtoto asiependa kula ni stress lakkni kama wazazi mnapaswa kujitahidi aleo hata kias tu na sio ale amalize ukiona kala kabakisha hata kidogo mnawisheni msije kua mnashindilia tu mivyakula ale amalize
 
mimi wangu anakimbilia three good years lakini hapo kwenye kula, ukitaka ale mle wote yan pakua sahani yako yeye muekee yake hapo atakula useme nna kaz ngoja nimuwashishe ale hagusi hata tonge na alivokua mdogo alikua ukimpakata hali kwa hio akienda huku nampa kijiko akirudi huku ana kijiko mpaka anamaliza yan uvunje kazi kweli kweli
Naendelea kujifunza, wangu anatimiza miezi sita sasa na ligi ya chakula ndio inaanza hivi, lazima hizi mbinu nizijue
 
Aseee nna mtoto wa ndugu yangu ila naishi naye mimi ana Moderate Autism pia ana Attention Deficit (Hyperactivity) !! Ana changamoto kwenye kula toka akiwa mtoto hadi leo tumepambana sana ! Anakula anapopenda yeye ila hata upike chakula gani kizuri hagusi !! Tumejaribu njia nyingi sana !!!
Utapika leo kitu fulani leo atakipenda ,wakati mwingine ukijaribu hagusi ! Na mama watoto kwa kweli ni mahiri sana wa mapishi !! Tumejaribu kubadilisha badilisha vyakula , tukasema sasa tuanze kulazimishana imegoma !!

Na siku akila chakula mfano mmebanana nae mfano ndo amekula mchana ! Hali tena mpaka kesho !! Kitu ambacho huwa kinamvutia ni rahisi kumpata anaweza kuleta kikombe mwenyewe ni chai tu !! Hata ile roho ya watoto kutamani vitu yaani hanaga habari kabisa

Ana afya njema tu , na nguvu za kutosha ana miaka saba ni binti

Nisaidieni na mimi pia.
 
Mtoto wako usimlazimishe kula

Mwanao ana low anabolism rate hii inaturn back catabolic pia iwe chini hivyo chakula anachokula kidogo chaweza kumfanya kukaa bila kula muda mrefu kuliko mtu mwingine.

Hivyo huna haja ya kusumbuka kama ana afya njema na anacheza vzr.

Huyo ndiyo kawaida yake ukimlazimisha kula atatapika tu maana mwili unapeleka taarifa za kuwa kashiba aisipeleke kingine hakitafanyiwa kazi

Be humble

Mwache mtoto atake kula mwemyewe
 
Mtoto wako usimlazimishe kula

Mwanao ana low anabolism rate hii inaturn back catabolic pia iwe chini hivyo chakula anachokula kidogo chaweza kumfanya kukaa bila kula muda mrefu kuliko mtu mwingine.

Hivyo huna haja ya kusumbuka kama ana afya njema na anacheza vzr.

Huyo ndiyo kawaida yake ukimlazimisha kula atatapika tu maana mwili unapeleka taarifa za kuwa kashiba aisipeleke kingine hakitafanyiwa kazi

Be humble

Mwache mtoto atake kula mwemyewe
true, japo changamoto
 
Mtoto wangu wa kiume wa miaka minne sijui ana shida gani maana hapendi kula na akila hutapika unapomlazimisha.

Tumempeleka hospital hakuna cha zaidi ya kumpa dawa za vitamin.

Amechangamka anacheza vizuri ila linapokuja swala la kula ni mtihani kwake.

Vyakula tunavyompa ni vya kawaida tunavyokula wanafamilia ndizi, wali,ugali,mkate, matunda nk. Uji pia wa lishe pia.

Anapenda vinywaji artificial soda,juice ambavyo mi wenyewe na mamake huwa hatumpi.

Tafadhali naomba msaada
chekini minyoo
 
Back
Top Bottom