Mtoto akifika miezi 7 anatakiwa afunzwe kupangwa kujisaidia haja zote kubwaa na ndogo mpk akiamkwa asubuhi unamuweka Kwa potti mpk akojoe mchana pia unamuacha km masaa mawili then unampanga Tena
Mwishowe huzoea hyo Hali wanangu wote wameacha kujisaidia miaka miwili labda itokee bahati mbaya sanaa
Wengine tuna Malezi ya kizamani ya watoto yaani namfunza Bado mdogo haja zote
Sent from my Infinix X657 using
JamiiForums mobile app