Usiogope bhana, ukikaa karibu na waridi hata wewe utanukia!!!Wapendwa mu wazima?
Kuna jambo linaniwazisha sana
Nna mke na watoto 4 ila huyu wa nne mda unavyozidi kwenda anakua anazidi kufanana na jirani yangu mzee kibamia!
Mwanzoni mtoto alikuwa anafanana na mama yake ila ajabu
Siku zinavyoenda sura ya lile zee inakuja!
Halafu huyu dingi kaanza kama kujishtukia flani kila nikipita nimemkaushia ananiita kwa nguvu ili tu anisalimie mbona zamani hakuwa hivi?!
Hapa nilipo naanza kukonekti doti
Ushahidi ukijaa nitawaletea mrejesho!sitaki ujinga me wala sijaribiwi
Wanakopima DNA hukujui mpaka ulete uzi humu?,au unataka jamii ya jf ikusaidie nini katika hili?,wewe ni baba wa watoto 4 kweli?,kama hili tu liko wazi suluhu yake unakuja kulileta huku?,naipa pole familia yakoWapendwa mu wazima?
Kuna jambo linaniwazisha sana
Nna mke na watoto 4 ila huyu wa nne mda unavyozidi kwenda anakua anazidi kufanana na jirani yangu mzee kibamia!
Mwanzoni mtoto alikuwa anafanana na mama yake ila ajabu
Siku zinavyoenda sura ya lile zee inakuja!
Halafu huyu dingi kaanza kama kujishtukia flani kila nikipita nimemkaushia ananiita kwa nguvu ili tu anisalimie mbona zamani hakuwa hivi?!
Hapa nilipo naanza kukonekti doti
Ushahidi ukijaa nitawaletea mrejesho!sitaki ujinga me wala sijaribiwi
Ushahidi ukijaa nitawaletea mrejesho!sitaki ujinga me wala sijaribiwi
Swali zur icje kua anatuchezea akil zetu tu hpInawezekana vile viungo na kachumbari ulokuwa ukiomba kwa jirani ndio vimesababisha mtoto kufanana na jirani. Hivi ulijuaje kama mzee ana kibamia au kishakugegeda na wewe mkuu?[emoji51] [emoji125] [emoji125] [emoji125]