Mtoto wangu anafanana na jirani

Mtoto wangu anafanana na jirani

flintsky

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
654
Reaction score
747
Wapendwa mu wazima?

Kuna jambo linaniwazisha sana
Nna mke na watoto 4 ila huyu wa nne mda unavyozidi kwenda anakua anazidi kufanana na jirani yangu mzee kibamia!
Mwanzoni mtoto alikuwa anafanana na mama yake ila ajabu
Siku zinavyoenda sura ya lile zee inakuja!
Halafu huyu dingi kaanza kama kujishtukia flani kila nikipita nimemkaushia ananiita kwa nguvu ili tu anisalimie mbona zamani hakuwa hivi?!
Hapa nilipo naanza kukonekti doti
Ushahidi ukijaa nitawaletea mrejesho!sitaki ujinga me wala sijaribiwi
 
Wapendwa mu wazima?

Kuna jambo linaniwazisha sana
Nna mke na watoto 4 ila huyu wa nne mda unavyozidi kwenda anakua anazidi kufanana na jirani yangu mzee kibamia!
Mwanzoni mtoto alikuwa anafanana na mama yake ila ajabu
Siku zinavyoenda sura ya lile zee inakuja!
Halafu huyu dingi kaanza kama kujishtukia flani kila nikipita nimemkaushia ananiita kwa nguvu ili tu anisalimie mbona zamani hakuwa hivi?!
Hapa nilipo naanza kukonekti doti
Ushahidi ukijaa nitawaletea mrejesho!sitaki ujinga me wala sijaribiwi
Umejuaje anakibamia!
 
JAMANI JAMANI JAMANI

Nawashangaaga sana watu wanaopoteza potential time, mabando na oxygen ya ubongo kutoa ushaur kwa STORY YA KUTUNGA...

TUMIENI AKILI ZETU KUTOFAUTISHA STORY ZA KWELI NA ZA KUTUNGA...

Hii story inasambaa sana whatsapp N ipo FB tangu February...

ACHENI UBOYA

[HASHTAG]#Chief[/HASHTAG] Eng
ndiyo huyu alikuja na hii...
Naogopa kuongea na wanawake hata kuwatongoza sababu sina pesa
Thread by: flintsky, Sep 5, 2016, 31 replies, in forum: Mahusiano, mapenzi, urafiki

Wana MMU
muhali gani?!
Husika na somo hapo juu.
Nina hili tatizo sijui ni mimi mwenyewe tu?!
Yaani kila mwanamke ninaemuona na kumpenda au kumtamani naogopa kumtokea naogopa kupigwa ngeu(kibomu).
Hii ni sababu tu mambo hayako vuzuri inafikia sasa hata mazoea tu na mademu naogopa nisije kupigwa mzinga nikaaibika bure.
Nimeshajijengea bila pesa ukitaka mwanamke sana sana utaumbuka tu bora ukae futi 100.kuna wakati unajikuta unachukua hata wajukuu wa pinda ili kusevu cost!

Hivi hii hata nyie makapuku kama mie haiwatokei?
 
Pole mkuu umegongewa

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Inawezekana vile viungo na kachumbari ulokuwa ukiomba kwa jirani ndio vimesababisha mtoto kufanana na jirani. Hivi ulijuaje kama mzee ana kibamia au kishakugegeda na wewe mkuu?[emoji51] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
 
Wapendwa mu wazima?

Kuna jambo linaniwazisha sana
Nna mke na watoto 4 ila huyu wa nne mda unavyozidi kwenda anakua anazidi kufanana na jirani yangu mzee kibamia!
Mwanzoni mtoto alikuwa anafanana na mama yake ila ajabu
Siku zinavyoenda sura ya lile zee inakuja!
Halafu huyu dingi kaanza kama kujishtukia flani kila nikipita nimemkaushia ananiita kwa nguvu ili tu anisalimie mbona zamani hakuwa hivi?!
Hapa nilipo naanza kukonekti doti
Ushahidi ukijaa nitawaletea mrejesho!sitaki ujinga me wala sijaribiwi
Sio wako huyoo. Ongea na mkeo akueleze vizuri anamjuaje mzee kibamia????
 
Wapendwa mu wazima?

Kuna jambo linaniwazisha sana
Nna mke na watoto 4 ila huyu wa nne mda unavyozidi kwenda anakua anazidi kufanana na jirani yangu mzee kibamia!
Mwanzoni mtoto alikuwa anafanana na mama yake ila ajabu
Siku zinavyoenda sura ya lile zee inakuja!
Halafu huyu dingi kaanza kama kujishtukia flani kila nikipita nimemkaushia ananiita kwa nguvu ili tu anisalimie mbona zamani hakuwa hivi?!
Hapa nilipo naanza kukonekti doti
Ushahidi ukijaa nitawaletea mrejesho!sitaki ujinga me wala sijaribiwi
mkuu upo hai lete mrejesho sasa
 
Ushahidi utaupataje maana hata vipimo vya DNA vimekuwa mtihani mkubwa. Tunaomba uzima huku tukisubiria mrejesho.
 
Back
Top Bottom