Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Hawa Chadema ni kuokoteza watoto wa vigogo tu sasa
Ndiyo siasa kwa vitendo! Sasa ngoja tumsikie Mkuu wa gombe kama ataendelea kuropoka kuwa sijui chadema ni chama cha wapi!
Hawa Chadema ni kuokoteza watoto wa vigogo tu sasa
atasema sio mwanaeNdiyo siasa kwa vitendo! Sasa ngoja tumsikie Mkuu wa gombe kama ataendelea kuropoka kuwa sijui chadema ni chama cha wapi!
Kwahiyo huyo kijana credential pekee anayoweza kujivunia na ambayo chadema imeiona asset ni utoto wa Wassira!!!
Definitely!!tukiwamaliza tunarudi kwenu,hope mtakuwa mmeiva vya kutosha,there's no way out,lazima mtii ukweli,na muelekee njia yake.Hawa Chadema ni kuokoteza watoto wa vigogo tu sasa
Katika watu wanaikashifu Chadema na kuwa na maneno ya maudhi ni Waziri Wassira. Sasa kwa kuonyesha kuwa M4C haina msamaha hata kwa familia yake mtoto wake aishie USA aitwae Makongoro Wassira amejinga na M4C. Akizungumza wakati anakabidhiwa kadi alisema yeye ni wa kwanza tu kujiunga M4C lakini ndugu zake wote wapo mbioni kujiunga na anadhani baba yake pekee ndie atabaki CCM. Peopleeeeeeeeeeeeeeee power.
Viongozi wa Tawi la Chadema Houston wamkabidhi Kadi ya Chadema Makongoro Wassira
Angalia picha hapa CHADEMA USA
Kwa jinsi Wasira anavyochukia upinzani sidhani kama hakuna mchezo mchafu unaotaka kuchezwa hapo. Kumbuka hata baba yake aliwahi kutumika kama mamluki ili akavuruge upinzani
Chadema tuwe makini si kila kingaacho ni dhahabu,tunateswa na shibuda,zzk hatujakoma tu? Tusishabikie kila kitu jemeni
Katika watu wanaikashifu Chadema na kuwa na maneno ya maudhi ni Waziri Wassira. Sasa kwa kuonyesha kuwa M4C haina msamaha hata kwa familia yake mtoto wake aishie USA aitwae Makongoro Wassira amejinga na M4C. Akizungumza wakati anakabidhiwa kadi alisema yeye ni wa kwanza tu kujiunga M4C lakini ndugu zake wote wapo mbioni kujiunga na anadhani baba yake pekee ndie atabaki CCM. Peopleeeeeeeeeeeeeeee power.
Viongozi wa Tawi la Chadema Houston wamkabidhi Kadi ya Chadema Makongoro Wassira
Angalia picha hapa CHADEMA USA