Jamani wanamageuzi wenzangu msimhukumu Makongoro Wassira, baba yake tulikuwa naye upinzani njaa yake ndio ilimrudisha magambani. Leo hii njaa ikimrudia huyu mzee atatafuta mahali pa kwenda kuganga njaa tena, hiyo ndio sera ya magambazzz.Makongoro Wassira tunakukaribisha ktk tawi letu, uanze kama kada wa CDM, usitafute madaraka ya haraka haraka tutakupiga chini fasta.