Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya; wazazi wanadai ana majini

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Mar 10, 2022
17,796
32,148
Hi

Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya kisa wadudu (jini) inasadikika kuwa mtoto akitaka kunyonya hao wadudu wanatokea na kuaza kumnyonga mtoto mpaka ana acha kunyonya

Mzazi ni mpemba na anakiri kuwa mwanae ana mashetani, walipojaribu kumuombea dua hali ikazidi zaidi kwa hiyo waliamua mtoto aache kunyonya ili mtoto asinyongwe.

Kuna ukweli?
 
Hi

Mtoto wa miezi miwili aacha kunyonya kisa wadudu (jini) inasadikika kuwa mtoto akitaka kunyonya hao wadudu wanatokea na kuaza kumnyonga mtoto mpaka ana acha kunyonya

Mzazi ni mpemba na anakili kuwa mwanae ana mashetani walipi jaribu kumuombea dua hali ikazidi zaidi kwahio uwaliamua mtoto aache kunyonya ili mtoto asinyongwe kuna ukweli?

Sasa sisi tutajuaje na mpemba hatumjui?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom