Mtoto wa miezi minne kukosa choo

Mtoto wa miezi minne kukosa choo

walitola

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2014
Posts
4,832
Reaction score
5,632
Habari za muda huu wakuu!
Wataalam wa mambo kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Mtoto wangu ana umri wa miezi minne, amekuwa akipata tatizo la kutopata choo kwa wakati. Anaweza akakaa hata wiki moja na zaidi ndio akapata choo na mara nyingi mpaka umbusti na dawa ambayo ni mafuta ya samaki.

Najua humu kuna wataalam wazuri tu, ivyo basi naomba tushee hapa jukwaani shida itakuwa nini?? Kuhusu uyu kijana wetu.
Asahnteni
 
Ni hali ya kawaida kwa watoto wanaotumia maziwa ya mama tu , isipo kuwa kama anapata maumivu na kujikunja , fanya kumshika tumbo ukiona anajikunja kwa maumivu na tumbo ni gumu mwone daktari.
 
Ni hali ya kawaida kwa watoto wanaotumia maziwa ya mama tu , isipo kuwa kama anapata maumivu na kujikunja , fanya kumshika tumbo ukiona anajikunja kwa maumivu na tumbo ni gumu mwone daktari.
Asante sana mkuu ila tumbo lake sio gumu lipo kawaida tu nafikiri kama ulivyosema itakuwa ni uchanga tu na pia anatumia maziwa ya mama pasipo kunywa kimiminika chochote.
 
Habari za muda huu wakuu!
Wataalam wa mambo kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Mtoto wangu ana umri wa miezi minne, amekuwa akipata tatizo la kutopata choo kwa wakati. Anaweza akakaa hata wiki moja na zaidi ndio akapata choo na mara nyingi mpaka umbusti na dawa ambayo ni mafuta ya samaki.

Najua humu kuna wataalam wazuri tu, ivyo basi naomba tushee hapa jukwaani shida itakuwa nini?? Kuhusu uyu kijana wetu.
Asahnteni
Hashibi
 
Ni hali ya kawaida kwa watoto wanaotumia maziwa ya mama tu , isipo kuwa kama anapata maumivu na kujikunja , fanya kumshika tumbo ukiona anajikunja kwa maumivu na tumbo ni gumu mwone daktari.
Watoto wengi wanapewa Maziwa ya mama tu, huwa hawashibi. Huwa tunawapatia uji lakini uliochujwa kwa kitambaa ili washibe
 
Asante sana mkuu ila tumbo lake sio gumu lipo kawaida tu nafikiri kama ulivyosema itakuwa ni uchanga tu na pia anatumia maziwa ya mama pasipo kunywa kimiminika chochote.
Maziwa yamama mara nyingi yanaenda kwenye mfumo wa kunyonywa zaidi na mwili kuliko kutolewa kama taka mwili , hivyo hupunguza kasi ya uchafu mwingi kutolewa nnje.
 
Wengi wa hapa JF wanajifanya kutoa ushauri kutoka vichwani mwao au kusoma vitabu. Ushauri unatokana na uzoefu wenye maumivu juu ya suala linaloulizwa. Kama hujawahi kuwa na mama mtoto ambaye maziwa hayatoshi, huwezi kujua karaha za watoto wachanga kutoshiba na jinsi ya kulitatua tatizo hili
 
Maziwa yamama mara nyingi yanaenda kwenye mfumo wa kunyonywa zaidi na mwili kuliko kutolewa kama taka mwili , hivyo hupunguza kasi ya uchafu mwingi kutolewa nnje.
Kwa maelezo yako mkuu inatakiwa mwanangu nimpe uji mwepesi sasa 🙏🏾
 
Nahisi atakuwa hashibi. Je analala vizuri? halii mara kwa mara?
Ukizidisha kipimo cha mafuta yaa samaki mtoto anaweza pata choo kigumu.
Inawezekana kweli hashibi, kwenye kulala anajitahidi kulala vzuri pia halii sana ila kwenye mafuta ya samaki hapo inatakiwa nipunguze mana huwa tunampa sana
 
Huyo mtoto hashibi halafu achana na watalamu wa kusema mtoto kula mpaka miezi 6 wangu mi miezi 3 anakunywa uji wa kuchuja
 
Habari za muda huu wakuu!
Wataalam wa mambo kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Mtoto wangu ana umri wa miezi minne, amekuwa akipata tatizo la kutopata choo kwa wakati. Anaweza akakaa hata wiki moja na zaidi ndio akapata choo na mara nyingi mpaka umbusti na dawa ambayo ni mafuta ya samaki.

Najua humu kuna wataalam wazuri tu, ivyo basi naomba tushee hapa jukwaani shida itakuwa nini?? Kuhusu uyu kijana wetu.
Asahnteni
Ulimpeleka kwa bwana mganga/daktari akupe mawaidha ya lasix?
 
Ni hali ya kawaida kwa watoto wanaotumia maziwa ya mama tu , isipo kuwa kama anapata maumivu na kujikunja , fanya kumshika tumbo ukiona anajikunja kwa maumivu na tumbo ni gumu mwone daktari.
Ushauri huu umejitosheleza sana. Niseme nini baada ya hili.
 
Back
Top Bottom