magode
JF-Expert Member
- Oct 2, 2014
- 2,201
- 3,322
- Thread starter
- #81
Mkuu mizambwa nimekuelewa mkuu na nimefanya juhudi kupata picha ya enzi za uhai wake nimeiweka hapo.Mleta mada iondoe hii picha. Naona kama ni mwanangu yaani nikiiangalia.
RIP mtoto, na alaani we aliyefanya hiki kitendo. Apatwe ugonjwa wa kichaa, aokote uchafu mitaani, Awe kama mbwa koko asiye na mtunzaji kisha naye afe kifo kibaya na cha kudhalilishwa.
Ee mwenyezi Mungu mlipie huyu aliyefanya kitendo cha kikatili ili iwe fundisho kwa wengine.
MIZAMBWA
INANIUMA SANA!!!
Last edited by a moderator: