mtoto wa miaka 6 aolewa

mtoto wa miaka 6 aolewa

Tony Gwanco

JF-Expert Member
Joined
Jan 22, 2013
Posts
5,913
Reaction score
1,217
Mtoto Najima mwenye umri wa miaka 6 ameozwa na baba yake mzazi nchini afughanistan.
Najima anatakiwa kuchukuliwa na mme wake mwaka kesho atakapofikia umri wa miaka saba tu.
Baba wa mtoto huyo anadai amefikia uamuzi huo kutokokana na ugumu wa maisha nchini humo na wingi wa madeni.'najisikia huruma na machungu ila sina jinsi' anasema baba yake najima,

Najima mwenyewe amefahamu hilo kupitia kwa watoto wenzake mjini kaburi ambao wazazi wao wanamdai baba yake.'nimeambiwa nitaolewa na wameshalipa pesa mm sina la kupinga'
Inakadiliwa kuwa familia nyingi nchini afghanistan zinaishi maisha duni ndani ndani ya kambi za wakimbizi

Ukoo wa baba yake Najima umelidhia kuozwa kwa najima huku sheria za nchi zikizuia jambo hilo
 
hii ndoa imefungwa na kiongozi yeyeote wa kidini?. huenda serikali inapinga huku dini/imani fulani ikiruhusu.
 
akiuza mkewe atapata wapi wa kumzalia mtoto mwingine...??? usiombe ukutwe na UFUKARA( umaskini uliokithiri)

What the heck is this? Si angeuza mkewe ama ajiuze mwenyewe? Its aselfish decision, period!
 
Lakini nasikia hata marehemu mtume alioa bint wa miaka9.
Kwani nayo ilitokana na umaskini wa wazazi au ni vipi!?
 
Kua uyaone sio magorofa bali ni maisha,
Duniani kuna mambo kam si vijimambo,
Aliyemuoa binti naye ameolewa,
Ama kweli ukilipa baya kwa jema ipo siku litakupata baya,
Najitahidi kufikiria lakini bado sijapata jibu.
 
inasikitisha sana!!! huyu mtoto anatakiwa awe amezungukwa na shule, vitabu, toys, michezo kadhaa na mapenzi ya baba na mama!!! badala yake ghafla ananyang'anywa childhood yake na kuingizwa kuwa mke, kutunza familia ya mume...kuingiliwa akiwa bado mbichi - matokeo ni physical injuries na psychological shock!!! im sure wengi wanajaribu ku-escape hii situation - na imagine wengi hutaka kujiua -ndio maana kuna ujasiri wa kujilipua!!! yani sijui ni jamii ya ain gani hii!!! lakini yote haya eti sababu ni umasikini!!! je hakuna njia nyingine ya kukabiliana na huu umasikini!!!???
 
What the heck is this? Si angeuza mkewe ama ajiuze mwenyewe? Its aselfish decision, period!

Sometimes ukubwa unatumika kidikteta King'asti.. Haiwezekani madeni waingie wakubwa malipo alipe mtoto.. Tumekuwa ili tuwalinde wadogo kama sie tulivyolindwa.. Very selfish decision..

akiuza mkewe atapata wapi wa kumzalia mtoto mwingine...??? usiombe ukutwe na UFUKARA( umaskini uliokithiri)

Mkuu watu8 ci aende yeye akatumikishwe huko kuliko kumuuza mkewe au mtoto wake..! Kuwa fukara hakutoi justification ya kuwatoa watoto wadogo kama malipo..
 
Mkuu watu8 ci aende yeye akatumikishwe huko kuliko kumuuza mkewe au mtoto wake..! Kuwa fukara hakutoi justification ya kuwatoa watoto wadogo kama malipo..

mkuu hii dunia ina mambo ya AJABU na tushukuru Mungu kutuweka hata hapa TANZANIA ambapo tunalalamika kuna umaskini...UFUKARA ukikithiri huwa kuna matukio ya ajabu watu hufanya pasipo kudhamiria, mathalani hapo Somalia kuna wakati kulikuwa na njaa kali(njaa ni sehemu ya ufukara), basi ikitokea tu mtu UMEJAMBA, basi watu wanakuua wakidhani kwako kuna chakula, maana haiwezekani mtu UJAMBE kama hujala...
 
akiuza mkewe atapata wapi wa kumzalia mtoto mwingine...??? usiombe ukutwe na UFUKARA( umaskini uliokithiri)
usiombe ukutwe na UFUKARA wa akili( ujinga uliokithiri).

nimeongezea hapo bold
 
ikitokea tu mtu UMEJAMBA, basi watu wanakuua wakidhani kwako kuna chakula, maana haiwezekani mtu UJAMBE kama hujala...

Ha ha ha ha.. Mkuu watu8 hapa umeua.. Duuh kweli hao walipitiliza kwenye ufukara..
 
Aisee hiyo issue nimeona jana usiku BBC kwenye Dira ya Dunia,yaani huwezi amini nilihisi moyo wangu unavuja damu,nina mtoto wa umri kama huo nilimuangalia nikahisi machozi yanataka kutoka,tusubiri tu huo mwisho wa dunia tupate adhabu tunayostahili kutokana na uovu wetu uliokithiri,hebu imagine huyo anaeowa huyo mtoto ana akili timamu kweli?mtoto wa miaka sita ataishi naye vipi kama mke,we have to believe that the end of the world is just around the corner.
 
What the heck is this? Si angeuza mkewe ama ajiuze mwenyewe? Its aselfish decision, period!

Jina lako ni la kike kike i hop wewe ni mwanamke, vipi wewe ungekubali kuuzwa? Au ungejiuza mwenyewe?
 
Mtoto Najima mwenye umri wa miaka 6 ameozwa na baba yake mzazi nchini afughanistan.
Najima anatakiwa kuchukuliwa na mme wake mwaka kesho atakapofikia umri wa miaka saba tu.
Baba wa mtoto huyo anadai amefikia uamuzi huo kutokokana na ugumu wa maisha nchini humo na wingi wa madeni.'najisikia huruma na machungu ila sina jinsi' anasema baba yake najima,

Najima mwenyewe amefahamu hilo kupitia kwa watoto wenzake mjini kaburi ambao wazazi wao wanamdai baba yake.'nimeambiwa nitaolewa na wameshalipa pesa mm sina la kupinga'
Inakadiliwa kuwa familia nyingi nchini afghanistan zinaishi maisha duni ndani ndani ya kambi za wakimbizi

Ukoo wa baba yake Najima umelidhia kuozwa kwa najima huku sheria za nchi zikizuia jambo hilo

Mkuu kama hiyo story siyo ya kwako uliyoitengeneza kufikisha ulichokusudia ebu weka link uliopata hizo habari.
 
wonder shall never end oooooh!huyo mama wa mtt nae labda hakupata uchungu cku ya kujifungua ndio maana karidhia huo upumbavu!
 
mkuu hii dunia ina mambo ya AJABU na tushukuru Mungu kutuweka hata hapa TANZANIA ambapo tunalalamika kuna umaskini...UFUKARA ukikithiri huwa kuna matukio ya ajabu watu hufanya pasipo kudhamiria, mathalani hapo Somalia kuna wakati kulikuwa na njaa kali(njaa ni sehemu ya ufukara), basi ikitokea tu mtu UMEJAMBA, basi watu wanakuua wakidhani kwako kuna chakula, maana haiwezekani mtu UJAMBE kama hujala...
ahahahahahah..mkuu umeua:happy:
 
usiombe ukutwe na UFUKARA wa akili( ujinga uliokithiri).

nimeongezea hapo bold

Yote hayo ni "subset" ya UFUKARA, na huyu mwanaume mwenzetu kwa bahati mbaya amekuwa mhanga wa songombingo zote mbili...
 
Lakini nasikia hata marehemu mtume alioa bint wa miaka9.
Kwani nayo ilitokana na umaskini wa wazazi au ni vipi!?

Kwa sheria za sasa hivi hapa TZ.. huyo mtume alikanajisi hako katoto na alitakiwa afungwe kifungo cha maisha na viboko 12 i.e angefia gerezani
 
Back
Top Bottom