mtoto wa miaka 6 aolewa

mtoto wa miaka 6 aolewa

Lakini nasikia hata marehemu mtume alioa bint wa miaka9.
Kwani nayo ilitokana na umaskini wa wazazi au ni vipi!?
Wafuasi wa Paul mna manneo mengi sana...People love Paul because they hate the teaching of Jesus Christ.

Mgefata alicho kisema Yesu msinge leta joke za kijinga kwa Prophet Muhammad.
 
  • Thanks
Reactions: Sal
Lakini nasikia hata marehemu mtume alioa bint wa miaka9.
Kwani nayo ilitokana na umaskini wa wazazi au ni vipi!?

Alimuoa akiwa na miaka 6 na alipofikisha miaka 9 ndo alishiriki naye tendo la ndoa. alikuwa anamjaribisha kwa vidole vyake mtume wa waislamu. Kitendo hicho kiliaribu kizazi chake na hakupata mtoto wake wa kuzaa!! so sad!!
 
Wafuasi wa Paul mna manneo mengi sana...People love Paul because they hate the teaching of Jesus Christ.

Mgefata alicho kisema Yesu msinge leta joke za kijinga kwa Prophet Muhammad.

Kipi kilianza kati ya Mohamed na Jesus!!??? Msijidanganye eti Yesu alikuwa Muislam.
 
na aliyemuoa ana umri wa miaka mingapi? inatia huruma sana
 
Wafuasi wa Paul mna manneo mengi sana...People love Paul because they hate the teaching of Jesus Christ.

Mgefata alicho kisema Yesu msinge leta joke za kijinga kwa Prophet Muhammad.
Kwani hii ni joke?
 
Kwa sheria za sasa hivi hapa TZ.. huyo mtume alikanajisi hako katoto na alitakiwa afungwe kifungo cha maisha na viboko 12 i.e angefia gerezani

hakika mtume alifanya jambo baya sana.. Na labda ndio sababu wafuasi wake hawaoni hatari ya jambo hilo na ndio maana wanaliendeleza.
 
Kipi kilianza kati ya Mohamed na Jesus!!??? Msijidanganye eti Yesu alikuwa Muislam.
FYI Paul never met jesus, as the christian movement started after Jesus died....Kwa hio hamna ujanja hapo :biggrin1:

Jesus was not a christian, he never asked any one to become christian.
 
  • Thanks
Reactions: Sal
Alimuoa akiwa na miaka 6 na alipofikisha miaka 9 ndo alishiriki naye tendo la ndoa. alikuwa anamjaribisha kwa vidole vyake mtume wa waislamu. Kitendo hicho kiliaribu kizazi chake na hakupata mtoto wake wa kuzaa!! so sad!!

ok nimeshaunganisha dots kumbe hata mtume nae alioa katoto ka miaka 6.. Basi hapa hakuna cha kushangaza inachopaswa huyo muoaji nae asubiri huyo mtoto afikishe miaka 9 ndio amuingilie ili kukamilisha maandiko
 
Kwani hii ni joke?
Si kweli kabisa hayo ni maneno ya wakristo tu na hamna dalili zozote zile, ni sawa sawa na nyimbo zenu za kanisani, ndo mlivyo kazi zenu kutunga uwongo kama mlivyo tunga Christmas mkasema ndo siku alizaliwa Yesu wakati hamna dalili zozote zile .

The real age of Aisha was 18 or 19 at the time the marriage was consummated.
 
Haya ndio madhara ya imani za dini za hovyo.
'
Kama kiongozi wa dini anaedaiwa kuwa ni mfano wa kuigwa alimuoa binti wa miaka 9 unadhani wafuasi wake watafanyaje?
 
images

Hao hapo wapo na wake zao. Happily married!
Chezea Afghan weye.
 
Si kweli kabisa hayo ni maneno ya wakristo tu na hamna dalili zozote zile, ni sawa sawa na nyimbo zenu za kanisani, ndo mlivyo kazi zenu kutunga uwongo kama mlivyo tunga Christmas mkasema ndo siku alizaliwa Yesu wakati hamna dalili zozote zile .

The real age of Aisha was 18 or 19 at the time the marriage was consummated.
Hujui imani yako. Ndo kwanza nakusikia wewe hii kitu.
 
Sidhani hata aliyefungisha hiyo ndoa ni timamu wa akili!

Mtoto Najima mwenye umri wa miaka 6 ameozwa na baba yake mzazi nchini afughanistan.
Najima anatakiwa kuchukuliwa na mme wake mwaka kesho atakapofikia umri wa miaka saba tu.
Baba wa mtoto huyo anadai amefikia uamuzi huo kutokokana na ugumu wa maisha nchini humo na wingi wa madeni.'najisikia huruma na machungu ila sina jinsi' anasema baba yake najima,

Najima mwenyewe amefahamu hilo kupitia kwa watoto wenzake mjini kaburi ambao wazazi wao wanamdai baba yake.'nimeambiwa nitaolewa na wameshalipa pesa mm sina la kupinga'
Inakadiliwa kuwa familia nyingi nchini afghanistan zinaishi maisha duni ndani ndani ya kambi za wakimbizi

Ukoo wa baba yake Najima umelidhia kuozwa kwa najima huku sheria za nchi zikizuia jambo hilo
 
Inasikitisha sana kuwa na wazazi wanamna hii wenye kudiriki kufanya huu ukatili kwa mtoto mdogo kiasi hiki!

Hakika huyo mtoto lazima awe mkatili sana! Aiseeeee

inasikitisha sana!!! huyu mtoto anatakiwa awe amezungukwa na shule, vitabu, toys, michezo kadhaa na mapenzi ya baba na mama!!! badala yake ghafla ananyang'anywa childhood yake na kuingizwa kuwa mke, kutunza familia ya mume...kuingiliwa akiwa bado mbichi - matokeo ni physical injuries na psychological shock!!! im sure wengi wanajaribu ku-escape hii situation - na imagine wengi hutaka kujiua -ndio maana kuna ujasiri wa kujilipua!!! yani sijui ni jamii ya ain gani hii!!! lakini yote haya eti sababu ni umasikini!!! je hakuna njia nyingine ya kukabiliana na huu umasikini!!!???
 
Najima......Najma
Kaburi........Kabul
Afughanistan......Afghanistan
Sawa jamani........tumeelewana.......?
 
  • Thanks
Reactions: Sal
inasikitisha sana!!! huyu mtoto anatakiwa awe amezungukwa na shule, vitabu, toys, michezo kadhaa na mapenzi ya baba na mama!!! badala yake ghafla ananyang'anywa childhood yake na kuingizwa kuwa mke, kutunza familia ya mume...kuingiliwa akiwa bado mbichi - matokeo ni physical injuries na psychological shock!!! im sure wengi wanajaribu ku-escape hii situation - na imagine wengi hutaka kujiua -ndio maana kuna ujasiri wa kujilipua!!! yani sijui ni jamii ya ain gani hii!!! lakini yote haya eti sababu ni umasikini!!! je hakuna njia nyingine ya kukabiliana na huu umasikini!!!???

Well said!
 
Mkuu kama hiyo story siyo ya kwako uliyoitengeneza kufikisha ulichokusudia ebu weka link uliopata hizo habari.

yakweli mkuu nadhani kuna watz wenzangu wameona pia kupitia star tv ilipo unganishwa na bbc dira ya dunia.
 
Hujui imani yako. Ndo kwanza nakusikia wewe hii kitu.
Ki vipi sijui imani yangu hamana kitu cha kumkosoa Prophet Muhammad mtabaki kutunga uwongo tu, tazama video hio uone dalili za ukweli
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom