Kwa lipi????Allah amuongezee zaidi na zaidi wote tuseme inshallaah
wakati watu tupo hapa hatujawai kupanda ndege .
uthamani wao unakuwaje katika mafugo yao....mkuu.. naomba kufamu..!!...Wanabebwa hivyo kutokana na thamani ya hao ndege maana mmoja anaweza kuwa na thamani ya shilling million 500 na zaidi FACT
Kuna ndege za mizigo sio kuwalipia seatMkuu upuuzi wao uko wapi? Kusafirisha hao "hawks" kwa njia ya ndege? Ulitaka wasafirishwe kwa njia ipi kamanda wangu? Kama ni wazungu wamefanya ivo je tungesema wapuuzi?
Kila mmoja anafanya alichojaaliwa na Mungu.pesa anazo za kumwaga azipeleke wapi! Angekua anasafirisha malaya au kilevi cha aina yeyote ningemuona mjinga flani hivi asiejitambua..ni hayo tu kamanda wangu
Mkuu saudi arabia ni nchi tajiri sana sidhani kama kwao hilo ni bonge la tatizo.Umejenga hoja ila umesahau huyo ni Mtoto wa Mfalme anaishi kwa kodi za Wananchi ,alipaswa kutumia njia mmbadala na sio kufuja Mali za Uma namna hiyo..
Hawa ndege wanatumiwa zaidi na familia za wafalme wa Gulf States na matajiri wakubwa kwa kuwindia.uthamani wao unakuwaje katika mafugo yao....mkuu.. naomba kufamu..!!...
Hao ndege wana passports kwa hiyo ni lazima wawe na seat
Waache wale maisha wamezitumia fursa vizuri za kubarikiwa kuwa na mafuta kazi ipo huku tuliojaliwa kila kitu lakini tunaishi kwa miujiza kama si kulogwa niniwakati watu tupo hapa hatujawai kupanda ndege .
duniani kuna mambo.
Hahahaaas ote na makoi koiwaarabu wenzie wanakufa huko syria wengine wanafia bahari kuu,alafu panya watanzania wanaamka kumpinga Trump kupiga ban kwa wahamiaji kutoka nchi saba za kiarabu
Wewe una gesi, mlima, mbuga za wanyama, bahari, mito, maziwa, madini ya kila aina na mengine hayapatikani duniani mfano tanzanite , uranium, na mafuta sasa wewe Mungu akupe nini ?Mafuta yanawapa jeuri sana hawa
Maajabu ya dunia kabisa, Syria, Yemen, Iraq hata Palestine, hao waarabu huko wanapata shida mno, mno, ila huyu mwenzetu kaona kusafirisha ndege ni muhimu kuliko kusaidia waarabu wenzake, ile kuchukuwa wahamiaji tu nchi zote za kiarabu zimekataa, sio ajabu Bw. Trump kuwapiga ban hawa waarabu na wana Imani ya kiislamu, kuna mambo mengine kama haya sio ya kushabikia kabisa, Mwl. Nyerere angempa neno huyu mpuuzi asingesahau maishani kwake...Mtoto wa Mfalme wa Saudi Arabia asafirisha Mwewe 80 katika Ndege
Maajabu ya dunia kabisa, Syria, Yemen, Iraq hata Palestine, hao waarabu huko wanapata shida mno, mno, ila huyu mwenzetu kaona kusafirisha ndege ni muhimu kuliko kusaidia waarabu wenzake, ile kuchukuwa wahamiaji tu nchi zote za kiarabu zimekataa, sio ajabu Bw. Trump kuwapiga ban hawa waarabu na wana Imani ya kiislamu, kuna mambo mengine kama haya sio ya kushabikia kabisa, Mwl. Nyerere angempa neno huyu mpuuzi asingesahau maishani kwake...
Mkuu saudi arabia ni nchi tajiri sana sidhani kama kwao hilo ni bonge la tatizo.
Inawezekana hiyo ndiyo ilikuwa njia sahihi ya kusafirisha hao ndege kwa haraka sana.
hujawahi kuona mtu anapakia kuku kwenye prado mpya badala ya kuwapakiza kwenye fusso.
That is Saudi Arabia Royal family wana mapesa mengi sana and wanayatumia kweli kweli na uzuri wananchi Saudi Arabia citzens hawana shida kama zetu za kuchangia madawati na kukosa dawa hospitalini
Nimekukubari kwa kukubari challenge.Asante kwa ufafanuzi mzuri Mkuu ,nimekuelewa nilishindwa kutofautisha kati ya 'wao' na akina 'sie'.