Bowie
JF-Expert Member
- Sep 17, 2016
- 4,372
- 6,078
Mjahideen wanaopambana na serikali ya Syria wako well funded and equipped na serikali ya Saudi Arabia na Marekani. Sio lazima kwa Saudi Arabia kutuma askari wake. Najua huko Yemen jeshi la saudh Arabia linapigana na wapiganaji wa Hourthpoint of correction saudia hayupo syria na hajaingilia masuala ya syria ,saudia yupo yemen huko anapambana
kwanza uturuki ndio waliokuwa wanashutumiwa ndio wanafadhili na vita nchini syria ni kati ya assad regime vs waasi+isis
usa mpaka saizi yupo upande wa waasi na viashiria kibao vilionekana mwaka jana mwishoni ..
na kama angekuwa anasaidia basi angeshajulikana muda maana ripoti zingetolewa na Russia today na press tv ya iran wangechapisha ,hawa press tv lazima wangewaumbua saudia..