Mtoto wa Mchungaji akitoa ushuhuda

Malunkwi

JF-Expert Member
Jan 19, 2011
339
79
Mtoto wa mchungaji katoa ushuhuda kanisani
Haleluyaaa!!!
Nashukuru mungu kwa kuniponya,nilikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu sehemu za siri kila mwezi
lakini tangu nimeanza kwenda kwa mwalimu wa sunday schooll usiku ni mwezi wa 3 ugonjwa umepona

Watu:
aaaaa!!(Mimba hiyoooo)
 
Mtoto wa mchungaji katoa ushuhuda kanisani
Haleluyaaa!!!
Nashukuru mungu kwa kuniponya,nilikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu sehemu za siri kila mwezi
lakini tangu nimeanza kwenda kwa mwalimu wa sunday schooll usiku ni mwezi wa 3 ugonjwa umepona

Watu:
aaaaa!!(Mimba hiyoooo)

hahaaaaa imekula kwake... Ye alijua maombi.. Kumbe mwalimu wa s.school anatafuna
 
Mtoto wa mchungaji katoa ushuhuda kanisani
Haleluyaaa!!!
Nashukuru mungu kwa kuniponya,nilikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu sehemu za siri kila mwezi
lakini tangu nimeanza kwenda kwa mwalimu wa sunday schooll usiku ni mwezi wa 3 ugonjwa umepona

Watu:
aaaaa!!(Mimba hiyoooo)
Keleuuuwiii naweka uchungaji pembeni nauwa mtu
 
Mtoto wa mchungaji katoa ushuhuda kanisani
Haleluyaaa!!!
Nashukuru mungu kwa kuniponya,nilikuwa na ugonjwa wa kutokwa damu sehemu za siri kila mwezi
lakini tangu nimeanza kwenda kwa mwalimu wa sunday schooll usiku ni mwezi wa 3 ugonjwa umepona

Watu:
aaaaa!!(Mimba hiyoooo)

Nhu! ebutueleze ni mtoto wa mchungaji gani huyo ambaye mwanae alitoa huo ushuhuda... naomba utueleze ili tumjue kabla hujapotosha watu.
 
Back
Top Bottom