Mtoto wa Kiarabu

Mtoto wa Kiarabu

Micheweni Pemba

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2010
Posts
351
Reaction score
180
Wakubwa Shikamooni wadogo Habari zenu.

Ningependa leo niseme ukweli wangu kabla sijaenda kuzimu.

Cha mno nilichonacho ndani ya moyo wangu ni kuoa mke mwenye asili ya uarabu.namaanisha asiwe mwanamke mweupe.

Najua wengine mtanisema vibaya ila hizo ni ndoto zangu.

Tafadhali kama kuna mtu mwenye hivo vigezo aupoze moyo wangu.
Wasalam.
 
Unamawe ya kutosha? Mbona wako weng tu kama huna mawe itaishia kuwaona kwenye video mpaka unaenda kuzimu
 
you have smart dream sir,big up!!

(hii ndiyo tofauti ya wazungu na miafrika)
 
Asee sasa mbona waarabu huezi pata humu,nenda kariakoo huko na ilala ,au hadi mombasaaaaaaaa
 
Nenda Mwananyamala...! Wako tele wengine wanakula hadi kitimotozz! !!
 
nenda singida wamejaa kibao pale bei rahisi tu
 
Wakubwa Shikamooni wadogo Habari zenu.

Ningependa leo niseme ukweli wangu kabla sijaenda kuzimu.

Cha mno nilichonacho ndani ya moyo wangu ni kuoa mke mwenye asili ya uarabu.namaanisha asiwe mwanamke mweupe.

Najua wengine mtanisema vibaya ila hizo ni ndoto zangu.

Tafadhali kama kuna mtu mwenye hivo vigezo aupoze moyo wangu.
Wasalam.
Una dalili za ugonjwa wa kujiunga na ISIS.
 
mimi nilijua unandoto ya kumpita mengi na kuwa na kampuni kubwa, shitiiiii
 
Waarabu hawana maaana dogo...ni wazuri kwa sura na sexy bodies lkn hawajui majambozzz..tafuta mbongo mwenzio..mark my words!
 
you have smart dream sir,big up!!

(hii ndiyo tofauti ya wazungu na miafrika)

mie naona yupo sawa tu na wazungu, maana hata madada wa kizungu wanakuja kuopoa kaka zetu wa kimasai na wenye rasta....au uchangua doa maeneo kama dubai wazungu na wenye feza zao hulipa dola kuanzia 300 kulala na changu wa kiarabu, wanaofuatia wabongo, wamwisho ni wachina dola chini ya 50, ....kuna mpaka ramani ya nchi zipi zenye wanaume wenye nanii ndefu duniani kwa ajili ya sex tourism, kwa afrika sudan inaongoza, usimcheke dogo. Ila dogo warabu wapo ila uwe na fweza ya kutosha na kusahau ukoo na familia uliyotoka, pia jiandae kubaguliwa hata kama unamshiko kiasi gani.
 
Aiseee kwann usiote kuoa mmakonde au mkwere hata mdigo, sasa Wataolewa na nani hawa
 
mie naona yupo sawa tu na wazungu, maana hata madada wa kizungu wanakuja kuopoa kaka zetu wa kimasai na wenye rasta....au uchangua doa maeneo kama dubai wazungu na wenye feza zao hulipa dola kuanzia 300 kulala na changu wa kiarabu, wanaofuatia wabongo, wamwisho ni wachina dola chini ya 50, ....kuna mpaka ramani ya nchi zipi zenye wanaume wenye nanii ndefu duniani kwa ajili ya sex tourism, kwa afrika sudan inaongoza, usimcheke dogo. Ila dogo warabu wapo ila uwe na fweza ya kutosha na kusahau ukoo na familia uliyotoka, pia jiandae kubaguliwa hata kama unamshiko kiasi gani.

teh teh teh

indeed mkuu!
 
Njoo nikupe wangu bi Kulthoom, raha yake akupende mwenyewe tu otherwise utasanda. Mi najilia vyangu tu mtoto anataka mwenyewe....

Kuna chalii angu mmoja anashangaa hivi naanzaje kumvua yale mahijabu
 
Back
Top Bottom