Micheweni Pemba
JF-Expert Member
- Jul 13, 2010
- 351
- 180
Wakubwa Shikamooni wadogo Habari zenu.
Ningependa leo niseme ukweli wangu kabla sijaenda kuzimu.
Cha mno nilichonacho ndani ya moyo wangu ni kuoa mke mwenye asili ya uarabu.namaanisha asiwe mwanamke mweupe.
Najua wengine mtanisema vibaya ila hizo ni ndoto zangu.
Tafadhali kama kuna mtu mwenye hivo vigezo aupoze moyo wangu.
Wasalam.
Ningependa leo niseme ukweli wangu kabla sijaenda kuzimu.
Cha mno nilichonacho ndani ya moyo wangu ni kuoa mke mwenye asili ya uarabu.namaanisha asiwe mwanamke mweupe.
Najua wengine mtanisema vibaya ila hizo ni ndoto zangu.
Tafadhali kama kuna mtu mwenye hivo vigezo aupoze moyo wangu.
Wasalam.