Mtoto wa JK aula Etihad Airways

Mtoto wa JK aula Etihad Airways

SDG

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2017
Posts
7,631
Reaction score
8,074
IMG_20170709_135516.jpg
_20170709_135551.JPG

Kila la kheri Mtanzania mwenzetu
 
image.jpeg

Moja ya darasa la wanafunzi wa urubani wa Chuo cha Etihad....

image.jpeg

Moja kati ya ndege zao za mafunzo wakiwa chuoni.

image.jpeg
Huyu kijana wa JK sidhani hata kama atakuwa amefikia level ya kama huyu kijana ya kuwa "Solo Pilot".Na ukiangalia begani kwa wote wawili,wana "bar" moja kuashiria bado wapo "darasani" au wapo tu chuoni kusoma na si kwamba wameajiliwa(Nipo tayari kusahihishwa ndani ya mjadala kama kaajiliwa)


Hongera sana kijana,hivi huyu ni Rashid au Khalfan!?Huwa ninawachanganya.
Hivi amepata ajira au yupo "Training" kwa ajili ya kupata masaa?Maana kwa pesa ya baba yake,sio kazi kulipa "Etihad Flying School" ili apate masaa ya kuwa rubani kamili baada ya kuwa darasani.

Maana hata ukiangalia begani ana bar moja tu,ili uwe "Pilot in Command" hapo begani lazima uwe na "Four bars".Sasa huyu dogo atakuwa ametoka tu shule huko Marekani then "field" anafanyia Etihad na mzazi akawa analilipa shirika ili mtoto apate masaa(Rating Hours) then anarudi bongo tu kurusha Boeing za ATCL.

Au anaweza akawa kwenye shule ya marubani iliyo chini ya kampuni ya ndege ya Etihad.Wakuu kuinua dude kama Boeing 737-800,Boeing 777,Boeing 787 au Airbus 380 au ile mpya A350 siyo kwa bar moja begani.Utauwa watu dakika moja tu.

Kitu kingine wazazi tunachopaswa kujua,a pilot is just a mere driver.Urubani ni kama udereva tu,training yake ni miezi sita baada ya hapo unaanza sasa kuruka ili upate masaa ya kuweza kukupa uzoefu wa kurusha ndege,unaanza kupata leseni ya kuruka ukiwa solo,then ya kuruka na abiria na baadae ndege za kibiashara.

Tatizo ni ada ilivyo gharama. Kitu kilicho kigumu ni kuwa Engineer wa ndege na sio rubani. Ndio maana zile ndege pale nyumbani terminal one, vijana wengi waliishia kidato cha nne, sababu baba zao wana pesa, wakaenda course South Africa na USA na sasa wanarusha.

Mzee Mwinyi ana mwanae rubani, sema ile sio familia ya facebook na Instagram.

NB: Isionekane nina wivu
 
Afanye kazi kwa bidii. Wenzetu wanaangalia perfomance issue ya kuwa mtoto wa fulani is non of thier bussness

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom