Mtoto wa Fidel Castro ajiua

fidel casto the legend alikua mwanamapinduz halisi na aliisaidia afrika kwa moyo wote alijenga shule na kutuletea madaktari wengi wale waliokua wakubwa 1973 hadi 1979 mtakumbuka matukio yake mengi.
 
Kama wenye Pesa wanajiua, je masikini watafikia hatua gani???

Mungu tusimamie waja wako, dunia siyo mbaya, ila yaliyomo duniani sasa!!!!!

R. I. P
 
Back
Top Bottom