naiman64
JF-Expert Member
- Nov 22, 2013
- 6,854
- 5,275
Mkuu kwa upande wa huyu bwana imetumika kama utambulisho ambao kwa yeyote yule hutumika.Mtoto mwenye miaka 68,Apumzike kwa amani mtoto wa fidel castro.
Mkuu kwa upande wa huyu bwana imetumika kama utambulisho ambao kwa yeyote yule hutumika.Mtoto mwenye miaka 68,Apumzike kwa amani mtoto wa fidel castro.
Shule gan iliyowah kukumbwa na mafuriko kama sio nyumba zenu?
Poa mkuu nimekupata.Mkuu kwa upande wa huyu bwana imetumika kama utambulisho ambao kwa yeyote yule hutumika.
Pia Kilosa sec,Ifakara sec na Ruvu secRIP Castro jr, ninamkumbua baba yake alitujengea Kibiti na Korogwe girls
Sidhani kama Korogwe Girls aliijenga yeye. Ila hizi alizijenga yeye na zote ziko karibu na mito mikubwa na katika maeneo ya mafuriko.
Kibiti
Kilosa
Kilombero
Ruvu
Za tofali za kuchoma ziko imara hizi zenu za kata zimeshabomoka huwezi amini zina tunnel chini hata yaje mafuriko gani hazihusikiZingalipo au zimekuwa marehemu kama waliozijenga ???