Habari wakubwa
leo katika kuwatembelea majirani zangu nikafika kwenye nyumba moja na nikawakuta majirani zangu tukawa tunasalimiana sasa kulikuwa na dogo moja wa darasa la pili akawa anamuuliza maswali mama yake na majibizano yalikuwa kama hv
dogo;eti mama dada kwa kiingereza anaitwa nani?
mama;sister
dogo;kaka
mama;brother
dogo;ng'ombe
mama;caw
mama akamwambia embu nenda dada yako akufundishe kweli dogo akaanza kumuuliza dada yake
dogo;mtoto anaitwa nani?
dada;anaitwa baby
dogo;hahaaaaa (kicheko)kweli we hujui kiingereza baby ni mpenzi siyo mtoto
leo katika kuwatembelea majirani zangu nikafika kwenye nyumba moja na nikawakuta majirani zangu tukawa tunasalimiana sasa kulikuwa na dogo moja wa darasa la pili akawa anamuuliza maswali mama yake na majibizano yalikuwa kama hv
dogo;eti mama dada kwa kiingereza anaitwa nani?
mama;sister
dogo;kaka
mama;brother
dogo;ng'ombe
mama;caw
mama akamwambia embu nenda dada yako akufundishe kweli dogo akaanza kumuuliza dada yake
dogo;mtoto anaitwa nani?
dada;anaitwa baby
dogo;hahaaaaa (kicheko)kweli we hujui kiingereza baby ni mpenzi siyo mtoto