KWELI MKUU, HALAFU HUYU KIJANA TUSIMUITE MTOTO 26 YEARS SIO MTOTO MDOGO. ALIKUWA NI MTU MZIMA ANAYEJITAMBUA.Jamani matatizo yakiamua kushambulia familia/kazini ndo kama hivi..yatupasa kumwomba Mungu kila tulalapo natuamkapo.Leo kwa mwingine kesho kwako.hujui yatakuja kwa namnagani
Mmmhh inawezekana etiiiAu huenda dogo ali commit suiccide kwa kutumia gari ingawa hakufanikiwa kuaga on the spot.
Any way siri anayo yeye Marehemu.....rip Dogo.
Swalehe ashawahi fanya huo ujingaPole sana kwa familia na tunamwombea baba yake apone haraka na arudishwe kazini kwa kupewa onyo.
Ndugu zangu kilichotokea leo kinaweza kumtokea yoyote kwa njia nyingine tofauti wala tusihukumu mtu hapa. Najitolea mfano mie mtoto wangu wakati ana miaka minne aliwahi kufanya tukio la ajabu sana, nilikuwa natest muziki kwenye gari simu ikait.a ilikuwa ndani nikaliacha gari on (tulikuwa nae kwenye gari) sasa dogo akakaa siti ya dereva akaweka gia (auto) na kukanyaga mafuta kwa nguvu zote. Kilichookoa alikosea akaweka Neutral yaani gari ilipiga kelele kama ya mashindano na dogo alikuwa kaingia chini ya usukani kabisa ili apafikie pa kukanyaga.
Yaani ingekuwa ameweka gia ya Drive tungekuwa tunaongea mengine leo.
Ujumbe wangu likimfika mwenzako mpe pole ajali au tatizo alipigi hodi kuwa tarehe Fulani litatokea kama vile sherehe. Tatizo linatokea muda wowote.
Pia tusiwachukulie poa watoto kuwa hawataweza kufanya jambo la ajabu. Watoto wetu hawa wanajua kila kitu unachokifanya ukiwa unaendesha gari
Mkuu tumuombe Muumba amponye Baba wa marehemu na marehemu asamahewe kwa kila baya aliloteleza.. Amiin.Pole sana kwa familia na tunamwombea baba yake apone haraka na arudishwe kazini kwa kupewa onyo.
Ndugu zangu kilichotokea leo kinaweza kumtokea yoyote kwa njia nyingine tofauti wala tusihukumu mtu hapa. Najitolea mfano mie mtoto wangu wakati ana miaka minne aliwahi kufanya tukio la ajabu sana, nilikuwa natest muziki kwenye gari simu ikait.a ilikuwa ndani nikaliacha gari on (tulikuwa nae kwenye gari) sasa dogo akakaa siti ya dereva akaweka gia (auto) na kukanyaga mafuta kwa nguvu zote. Kilichookoa alikosea akaweka Neutral yaani gari ilipiga kelele kama ya mashindano na dogo alikuwa kaingia chini ya usukani kabisa ili apafikie pa kukanyaga.
Yaani ingekuwa ameweka gia ya Drive tungekuwa tunaongea mengine leo.
Ujumbe wangu likimfika mwenzako mpe pole ajali au tatizo alipigi hodi kuwa tarehe Fulani litatokea kama vile sherehe. Tatizo linatokea muda wowote.
Pia tusiwachukulie poa watoto kuwa hawataweza kufanya jambo la ajabu. Watoto wetu hawa wanajua kila kitu unachokifanya ukiwa unaendesha gari
Dingi nae kalazwa kwa mshtuko,shinikizo LA damu,Mara kiharusi dahBalaa juu ya balaa...
Aiseeee au ndo huyu 😂😂😂😂😂😂Pole sana kwa familia na tunamwombea baba yake apone haraka na arudishwe kazini kwa kupewa onyo.
Ndugu zangu kilichotokea leo kinaweza kumtokea yoyote kwa njia nyingine tofauti wala tusihukumu mtu hapa. Najitolea mfano mie mtoto wangu wakati ana miaka minne aliwahi kufanya tukio la ajabu sana, nilikuwa natest muziki kwenye gari simu ikait.a ilikuwa ndani nikaliacha gari on (tulikuwa nae kwenye gari) sasa dogo akakaa siti ya dereva akaweka gia (auto) na kukanyaga mafuta kwa nguvu zote. Kilichookoa alikosea akaweka Neutral yaani gari ilipiga kelele kama ya mashindano na dogo alikuwa kaingia chini ya usukani kabisa ili apafikie pa kukanyaga.
Yaani ingekuwa ameweka gia ya Drive tungekuwa tunaongea mengine leo.
Ujumbe wangu likimfika mwenzako mpe pole ajali au tatizo alipigi hodi kuwa tarehe Fulani litatokea kama vile sherehe. Tatizo linatokea muda wowote.
Pia tusiwachukulie poa watoto kuwa hawataweza kufanya jambo la ajabu. Watoto wetu hawa wanajua kila kitu unachokifanya ukiwa unaendesha gari
Huyo mzee taarifa ya msiba inaweza kumletea 2ns stroke ambayo ni mbaya zaidi.
Haya ni mambo ya kawaida sana kama mzazi una gari nyumbani. Kwakuwa huwa wazee siyo rahisi kukufundisha au kukupa gari mara nyingi vijana huiba. Ukifanikiwa kurudi nyumbani salama kana kuwa ndiyo kamchezo kako. Inawezekana huyu kijana ulikuwa mchezo wake au alikuwa anatumwa na babakeKuna siku nimeiba gari usiku. Nikakoswa koswa na lori la mchanga..sitasahau
Kwa babake ni mtoto. Mtoto kwa wazazi hakui. Ndiyo maana wanasema mtoto wa dereva! Hata Magufuli ni mtoto kwa mamakeMiaka 26 naye ni mtoto huyo?
Akina nani hao waliomsema vibaya? Kwahiyo inawezekana amekufa kutokana na masimango?!Kabla hajafa mlimsema kwa mengi mabaya
Dogo hakuwa mjanja
Mtu ukiiba gari unakuwa makini sana.
Sasa yeye analeta mbwembwe huku gari kaiba home