huyo Godluck namjua nilisoma nae CBE Dodoma ni mvuta bange mzuri sana nani bonge la kilaza, alifutiwa matokeo yote mwaka wa mwisho 2011 baada ya kubainika alimpa mwanachuo mwenzake pesa ili amfanyie mitihani na baada aliekuwa anamfanyia mitihani kukamatwa wote wawili walifutiwa matokeo...hamna kitu hapo polen sana wana ulanga mmelamba GALASA hapo