Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 63,552
- 112,474
Hiki chama chetu bana ndo shida yake, kimebaki cha watu wale wale, wengine tunasindiliza tu, AMA KWELI CCM INA WENYEWE, lakini tutakidai chama chetu kwa nguvu, humu humu ndani, kama ni uanachama mtuvue, hii haingii akilini kabisa
mtoto karisishwa Mali na ubunge pia nasema hii nidharau ya hali yajuu
kweli chama kinawenyewe sisi nimisukule
Teh komaeni mjipenyeze muwe viongozi watoto wenu watakuja kuwarithi labda