Mtoto wa ajabu azaliwa Temeke

Mtoto wa ajabu azaliwa Temeke

Boniphace Bembele Ng'wita

JF-Expert Member
Joined
Dec 25, 2013
Posts
3,533
Reaction score
1,936
Kwa wale wanaojua habar hii nmeipata so kama kuna mtu anaweza kujustfy itakuwa vyema maana nami nmepenyezewa,
 

Attachments

  • IMG-20140804-WA000.jpg
    IMG-20140804-WA000.jpg
    34.3 KB · Views: 2,356
Duh! Kweli maajabu hayaishi duniani. Ila sintoshangaa nikisikia kuwa nao huu ni uzushi kama ule wa watu waliogandana TMK.
 
Huyu mnayemuita Shamsa Ford ndiye asambazaye hizo habari

attachment.php

attachment.php
 
Sijui ni kwanini sina imani na hii story....
 
Duuh.. Yaani hizi social networks ndo zinakoleza uvumi ambao kwa Dar hapa ndo jiji kuu la uvumi..
 
Pamoja na kwamba ni mtoto ajabu kwa kumuangali lakini ni hali ya kawaida kuzaa mtoto kama huyo na hapa tanzania watoto kama hao wanazaliwa...

Huyo mtoto ni congenital abnormality anajulikana kama anancephaly ambapo anakuwa hana ubongo wa mbele, fuvu linalofunika ubongo(skull) pamoja scalp ...tatizo hutokea pale neuro tube zinaposhindwa kuungana wakati wa ukuaji wa mtoto nikama siku ya23 na 25 baada ya mimba kutungwa. kuna baadhi ya dawa zinazochangia kutokea kwa tatizo hilo ni kama dawa za kifafa, pia kuna magonjwa kama kisukali na sababu zingine ni za urithi wa gene.

..wamama wajawazito wanashauriwa kwenda kliniki ili wakapewe dawa za folic acid ambazo huweza kupunguza tatizo

Kwahiyo jamani tufute kauli ya kusema ni mtoto wa ajabu huyo ni kilema kama vilema wengine; isipokuwa mtoto kama huyo hawezi kuishi .....ana uwezo wa kuishi kwa muda si zaidi ya masasa 24 anakufa
 
Ndokeji

kiongozi umesema....ahsante!
 
Last edited by a moderator:
Labda zitakuwa ni side effects za dawa ambazo haziruhusiwi mama mjamzito kutumia hasa hasa katika miezi 3 ya mwanzo katika ujauzito.
 
Back
Top Bottom