Mtoto wa ajabu azaliwa Temeke

Mtoto wa ajabu azaliwa Temeke

Ndokeji

Ahsante kwa maelezo mafupi lakini ya kina...!
 
Last edited by a moderator:
Huyo mtoto ni congenital abnormality anajulikana kama anancephaly ambapo anakuwa hana ubongo wa mbele, fuvu linalofunika ubongo(skull) pamoja scalp ...tatizo hutokea pale neuro tube zinaposhindwa kuungana wakati wa ukuaji wa mtoto nikama siku ya23 na 25 baada ya mimba kutungwa. kuna baadhi ya dawa zinazochangia kutokea kwa tatizo hilo ni kama dawa za kifafa, pia kuna magonjwa kama kisukali na sababu zingine ni za urithi wa gene.

JF ni darasa tosha.. Ahsante Mkuu Ndokeji.. Umenisaidia kufahamu mengi ambayo nilikuwa siyafahamu..
 
Believe or not
 

Attachments

  • 1407148276006.jpg
    1407148276006.jpg
    11.5 KB · Views: 1,379
Then it might be just a lesson to teach us some thing kama niwaajabu kweli,atapita tu lengo ni kutuachia somo....
 
Back
Top Bottom