Mtoto Pendo wa IFM

Status
Not open for further replies.
Haloo! hilo kweli fundisho. Ila utaweka vipi appointment na mtu usie mjua? jamani tubadilike, hiyo michepuko haifai.
 
Nilikua na muongopea mie nilipanga ni mlie mijiela sasa nitimtajia kuwa na somea Accountant siange kata mwawasiliano na mimi hata kabla hatuja panga kuonana maana angeona huyu demu anasomea Accountant mambo ya kufunga makabati siutani angetoka ndukiii coz angeona ningeapply hiyo kwake hahahah
hahahahaha mbona kaka pita ulimwmbia unasoma BAF?
 

ni shidaaaaaasa
 
Mbona mnapenda haribu vyuo vya watu sa ifm na baf wapi na wapi tungeni hadith zenye ukwela hakuna baf ifm kuna bbf
 
Wenzako wajanja wanasuuza rungu hata kwa huyo mwenye sura kama karabai la wavuvi...

Mvuvi akitupa nyavu hata kama alitaka avue tasi au mkole, wakiingia humo kibua, kolekole hawezi waachia...

Sasa we subiria huyo mwenye sura kama tachi skrini ya Aipad miaka mia tisa wakati hata ngawira yakupiga chenga...
 
huyu atakuwa ni mimi tu... nilikasirika sana wakati huo nimetoka moshi nilikuja kumsalimia mama mdogo unaroho mbaya sana

hAA Haa pole sn miss chaga kama kweli ndo wewe. Usjali nipm namba yako nikrushie japo kijivocha cha kukusababishia usumbufu
 
Last edited by a moderator:
Huyo pendo namfahamu kabisa wa IFM..Ni mwembamba sana amesoma Olevel, primary. Morogoro mjini.. Anaitwa pendo msafi..ri..! Km Ni yeye Ni pm now., she used to be....
 
Heu tupe mambo yake ya chini, taarabu imo au haimo?

Maana naona mambo ya juu tushaambiwa ni kama nyago la kumtishia mtoto ale...

Huyo pendo namfahamu kabisa wa IFM..Ni mwembamba sana amesoma Olevel, primary. Morogoro mjini.. Anaitwa pendo msafi..ri..! Km Ni yeye Ni pm now., she used to be....
 
badilisha jina kwani kuna mtu anaitwa hivyo hivyo IFM na yupo hostel Kigamboni, embu andika jina "Okonko wa IFM ama Enugu wa IFM
 
hAA Haa pole sn miss chaga kama kweli ndo wewe. Usjali nipm namba yako nikrushie japo kijivocha cha kukusababishia usumbufu

yani naomba unipe na hela ya nauli mwaka mzima kuniacha natoa macho pale kama mjinga .... uliamua kunidhalilisha mkuuu sitakusamehe kabisa mpaka unipe hela
 
nilimkimbia dem mmoja mliman city..... tulichat fb, kukutana nae ni dwarf gunia la mkaa ni refu na unene komba kapten ni mwembamba....
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…