Hbr wana JF.
Upo na mumeo au mkeo kwa zaidi ya miaka 10 mkiishi kwa amani na furaha na mmebarikiwa kupata watoto 2. Siku mmeo/mkeo anakwambia ooh! Blaa blaaa blaaa unajua nilikuwaga na mtoto kabla hatujaoana sasa moyo unaniuma kuweka siri hii leo nimeona nikwambie. Kama ni wewe unafanyaje na kweli ukifwatilia unajua yupo na ni mkubwa kulingana na mlipofunga ndoa na kuna baadhi ya ndugu zake wanajua hili.
Ushauri jamani kama ni wewe unafanyaje?
kutokusema tangu mwanzo kunaibua maswali kwa mwenzi wake, kwamba inawezekana mtu aliyenae si mwaminifu na ukiicha ilo la mtoto labda kuna mengine pia ambayo hakuelezwa tangu mwazo. UONGO HAUJAWAHI KUWA TABIA NJEMA, nakushauri msamehe ili muendelee kukaa pamoja na mlee watoto wenu na huyo mwanaume aonywe na wazee.
hapo trust itavunjika
Mtu anayeweza kuficha mtoto wake kwa miaka 10 na zaidi ni hatari kuliko tindikali
mambo mengine mpaka yakukute ndio unajua ufanyaje.
Hbr wana JF.
Upo na mumeo au mkeo kwa zaidi ya miaka 10 mkiishi kwa amani na furaha na mmebarikiwa kupata watoto 2. Siku mmeo/mkeo anakwambia ooh! Blaa blaaa blaaa unajua nilikuwaga na mtoto kabla hatujaoana sasa moyo unaniuma kuweka siri hii leo nimeona nikwambie. Kama ni wewe unafanyaje na kweli ukifwatilia unajua yupo na ni mkubwa kulingana na mlipofunga ndoa na kuna baadhi ya ndugu zake wanajua hili.
Ushauri jamani kama ni wewe unafanyaje?