Mtoto mzuri Ughaibuni

Mtoto mzuri Ughaibuni

Hapo wote mnategana na kuogopana, kitendo cha kukurudisha toka matembezini hadi chumbani hotelini ni dhahiri nae anataka dyudyu sema tu nae hawezi kukuambia...
 
Kwanza beba vibendera vile vidogo wanavyopeperusha kweny cku ya muungano ,ukifka hotelin chomeka kweny kona ya kitanda,..afu akija wakat wa kuku hug na kukukisi simama naye karbu na kitanda afu utashuka naye mzima mzima mpaka chin
Nitakuwa na kosa la kubaka mkuu. Maana kule sheria zao zimesimama. Afu hotel ninayofikia ina chuma na sebure. Huwa tunaishia kukaa pale sebureni maana kuna masofa mazuri, TV, Kapeti zuri sana.
 
Muulize...do you have a boyfriend?? Afu yajayo yatafurahisha...
 
Men anayeomba ushauri jinsi ya kutongoza mie nahis kbs hafai kujihusisha na mapenzi kbs..we baki hivyo hivyo tu
 
Kwa mwandiko huu sina hakika kama hata Dar tu umewahi fika......utakuwa upo kwenye ndoto nyevu rafiki.
.
.
Ukiona choo ndotoni usikitumie,amka kumekucha.....vyuma hivi vyuma!
 
Men anayeomba ushauri jinsi ya kutongoza mie nahis kbs hafai kujihusisha na mapenzi kbs..we baki hivyo hivyo tu
Hahahahah umenena kweli tupu......vijana wa sasa wanapenda papuchi ila kuwatongoza wamiliki hawawezi,shida tupu.
 
Tuelimishane kiongozi nisije nikakosea pakubwa. Embu fikilia nikiambiwa nimebaka kule ulaya si itakuwa aibu kwa taifa zima. Nipe tu ujanja nitaleta mlejesho humu.
ukifungwa huko unaishi maisha mazuri sana kuliko hata maisha ya ushuani Bongo kwa Jiwe.
 
Kama kiongozi wako wa kazi nimekuelewa hata kwa kuweka ID yako fake na kutotaja sehemu tuliyokutuma namna yako ya uandishi ndio hii hii huwa inatusumbua hata kwenye ripoti zako. SASA HUENDI.
1.Kama kuomba tu mzigo kwa manufaa yako huwezi utawezaje kutetea nchi kwa maslahi ya wengi?
2. Kama kujenga hoja ya kumvua pichu huyo mwanamke umeshindwa utajenga Hoja ku defend nchi yako?
3. Kama tu unaambiwa huku umekumbatiwa "take care John" unashindwa kuiona fursa je utaweza kuona fursa zinazojitokeza wakati EU na washirika watishia nchi?
4. Kama kutongoza unaomba ufundishwe Jf uka appky utaweza kukamaa kwenye majadiliano ya mikataba na ku win kama tume ya MAKINIKIA na kuja na solution kuwa kila kontena lina mali tulipigwa?
SASA HUENDI jipange utaenda Urambo Tabora huko mtawezana
 
Usijaribu kufanya mambo yako ya kibongo huko. Hao wapo tofauti. Sio kwamba kwa sababu anakuja chumbani kwako usiku, anakukumbatia basi umsukumia kitandani tu na ku-do. Utapata kesi. Lakini ukimtongoza hamna tatizo hata kama atakataa. Kwa uzoefu wangu baadhi ya wanawake wa kizungu, hasa ambao ni liberal, wanapenda sana kujaribu sex na watu weusi hasa wale ambao wapo open na wanawaamini.
 
Jamaa muongo kweli,, eti nje ya Nchi (kwa wazungu) anawasilianaje nao kama uandishi ndo huo?
Mkuu unazani kama ningekuwa naongea slang nani angejua nimeweka 'Ini case'?, kuandika mda mwingine ni makosa ya simu kujifanya inasahihisa pale tunapoandika. Kizungu mi mtata balaa.
 
Usijaribu kufanya mambo yako ya kibongo huko. Hao wapo tofauti. Sio kwamba kwa sababu anakuja chumbani kwako usiku, anakukumbatia basi umsukumia kitandani tu na ku-do. Utapata kesi. Lakini ukimtongoza hamna tatizo hata kama atakataa. Kwa uzoefu wangu baadhi ya wanawake wa kizungu, hasa ambao ni liberal, wanapenda sana kujaribu sex na watu weusi hasa wale ambao wapo open na wanawaamini.
Kwa hiyo hadi aniamini mkuu? Nifanye mbinu gani hadi aniamini? Naenda kwa week mbili je ataniamini?
Nashukuru kwa tahadahri na ni kweli nimewaza mengi sana.
 
Hapo wote mnategana na kuogopana, kitendo cha kukurudisha toka matembezini hadi chumbani hotelini ni dhahiri nae anataka dyudyu sema tu nae hawezi kukuambia...
Kwa kweli ingekuwa bongo uko sahihi kabisa na ningeshakula mbunye. Shida huko nje mtu anaweza akawa anafanya family firend hapa bongo na wala hana hata mda na wewe. Nazani tuko tofauti. Nahitaji wajuvi wa kunishauri mambo ya wazungu.
 
Kukumbatiwa na ngozi nyeupe ni mbadala wa kupewa mkono aidha wa kukaribishwa ama kuagwa, hapo kuwa tu rafiki mengine yatatokea yenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom