Mtoto mnene zaidi duniani

Amavubi

JF-Expert Member
Joined
Dec 9, 2010
Posts
30,156
Reaction score
13,267
Mtoto mnene zaidi duniani

Mtoto wa miaka 10 kutoka Indonesia, ambaye ametajwa kuwa mtoto aliyenenepa zaidi duniani ameanza kupewa chakula cha kupunguza uzani kwa kuwa wazazi wake wanahofia afya yake.



Arya Permana ana uzani wa kilo 188 na ameorodheshwa kuwa na unene usio wa kawaida.
 
Uwiiiiiiiie yeuwwwwiiiiiiie
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…