Mtoto kapotea akapatikana baada ya siku 10 Manzese, je huu ni ushirikina au?

Amka ndugu! Zielewe mbinu za matapeli hapa nchini.Hebu nikuulize: Mtu akikuambia piga namba hii ya mganga yuko Mtwara atakusaidia na wewe uko Kimara utaamini kwamba hiyo namba ni ya mtu aliye Mtwara kweli? Kweli matapeli wataendelea kututesa sana.
 
Ilipofika mida ya saa8 akapokea simu inamwambia aende Manzese kituoni akishuka asivuke bara bara atembee mita 200 na asimame atapokea simu nyingine akafanya kama alivyoagizwa baada ya mita 200 kweli alipigiwa akaambiwa mtoto kapatikana atume elfu 30
Karakata kwenye bonde na aliyehusika na huo mchezo ni shemeji yake kabisa mume wa dada yake na jamaa kakiri kuwa kweli kafanya ni masharti alopewa na mganga ili.



Je hatuwezi kuamini kuwa ni igizo lenye nia ya kumtambulisha huyo wa Sumbawanga na huyo shemeji mtu!!?
 
Tangazo lime advance
Cha kujifunza ulozi huwa Una husisha Sana ndugu Kwa ndugu,kama kuna ndugu mlozi bac n shida
 
Je hatuwezi kuamini kuwa ni igizo lenye nia ya kumtambulisha huyo wa Sumbawanga na huyo shemeji mtu!!?
Sio igizo story ni ya ukweli si yakuhadithiwa ,nimeihadithia km story labda kwenye thread yangu ningeweka nb : kuwa sina namba ya huyo mganga na pia sitakuwa tayari kutoa ushirikiano wowote kwa atakaeta mawasiliano.
 
Back
Top Bottom