Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,432
Mtoto kapelekwa hospitali na mdingi wake, docta akawa anamuandikia dawa, baba yake
akatoka nje kuongea na simu. Mtoto akamuinamia daktari akamwambia kwa sauti ya chini
chini, 'Dokta kwenye dozi andika Fanta Baridi,chips na kuku kila siku kwa siku 30,kutwa
mara tatu'
akatoka nje kuongea na simu. Mtoto akamuinamia daktari akamwambia kwa sauti ya chini
chini, 'Dokta kwenye dozi andika Fanta Baridi,chips na kuku kila siku kwa siku 30,kutwa
mara tatu'