Mtoto alipoharibu

Ni shopping ya sikukuu tu lakini shost hana kabisa mazoea ya kwenda Mlimani City.

Hata kama... Kama unamichepuko milimani city siyo sehemu salama hata kidogo... Utakutana hata na house girl wako wakati alikuaga anarudi kijijini wiki moja kusalimia wazazi...
 
hivi unafikiria ni kazi rahisi kusema hivyo kwa mahabuba mchepuko!!!!
 
Inauma mnoo kwa mke halali,mtu umemzalia watoto na inawezekana mwanaume akasema wametosha tulee sasa,halafu ndo unakutana na majanga haya.
 
Unaruhusiwa mkuu.
basi najiweka kwenye viatu vya mwanaume

nawachukua mpaka kwenye lile banda la juice tunakaa halafu naweka kila kitu hadharani kwa sababu kuna vitu vya kuficha lakini siyo hilo. ni wakati wa kuvuna mbivu au mbichi
 
hivi unafikiria ni kazi rahisi kusema hivyo kwa mahabuba mchepuko!!!!
inategemea tokea mwanzo uliipa vipi uzito familia yako .. kama ulingia kwa gia ya kuiponda huwezi ila kama ulimwambia my family first sidhani ama atakuwa na say
 
Huo ugomvi wake sasa
Hakuna ugomvi hapo..... Mwanaume kidume huyo. A woman should be proud of. Ana familia mbili na zote amezihandle perfectly.

Ni wa kupongeza huyo. mabint wa dot. com ndo wanaweza lata za kuleta.
 
inategemea tokea mwanzo uliipa vipi uzito familia yako .. kama ulingia kwa gia ya kuiponda huwezi ila kama ulimwambia my family first sidhani ama atakuwa na say
sidhaniiii,,, wanawake huwa hamkubali haswa....na kamzalia kidume meee,,, hawezi sema hiyo kitu..... hapo ni kucheza karata tuu.... ukila jokeri unakomaa,,, ila kupanga mbinu mkakati na miss no. 2.....noooo..
 
sidhaniiii,,, wanawake huwa hamkubali haswa....na kamzalia kidume meee,,, hawezi sema hiyo kitu..... hapo ni kucheza karata tuu.... ukila jokeri unakomaa,,, ila kupanga mbinu mkakati na miss no. 2.....noooo..
duh its pain kwa kweli
 
Ndio aendelee sasa.....
Mke hakuwa katika hali ya kulizwa pale, ilibidi kumtuliza mke, Peter aondoe familia, wamefika nyumbani mke alipata namba ya simu ya shost kutoka kwenye simu ya mumewe na kumpigia. Alimueleza aelewe inavyouma akiwa kama mwanamke aelewe kuwa shost anavunja ndoa yake.
 
Ukianza kugombana na mwanaume kwa mtoto aliyekwisha zaliwa ni ujinga tena ujinga maana keshazaliwa. Kikubwa jiongeze ujue mnachochuma, upendo umegawanyika hauko wewe tu sasa bweteka siku ya msiba ndipo utaona. Hawa viumbe ukigombana ndio anafurahiiii
 
Ukianza kugombana na mwanaume kwa mtoto aliyekwisha zaliwa ni ujinga tena ujinga maana keshazaliwa. Kikubwa jiongeze ujue mnachochuma, upendo umegawanyika hauko wewe tu sasa bweteka siku ya msiba ndipo utaona. Hawa viumbe ukigombana ndio anafurahiiii
Word mkuu.
 
kwani hajui kuwa wanaume lazima apepese macho......akomae atunze watoto...ajue akikimbia maisha yanasonga tuu....ashukuru malaika kamuonyesha...
 
kwani unashangaa nini mkuu si babake ......kitanda haki zai.............?
 
Unadhani ingekuwa sahihi Peter angemjenga motto amuite uncle?
 
umeleta nusu story malazia ilkuwaje mara tu mtoto alapo mkumbatia baba..vipi mke wa ndo.alisemaje?
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…