Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 33,939
- 67,459
Hello
Naomba ushauri uyo ni binamu yangu ana miaka 26 baba yake amefariki alafu mama yake wakambo ndio anawatunza sasa kilicho tokea huyu mtoto ana mdai mama wa kambo hela ya kulipia bima mpka wanagombana na mama yake nashindwa kuelewa kabisa
Huyu mtoto alipelekwa chuo mliman pale akachezea alikuwa anapata mkopo yeye akaona Bora atafute jimama akae nae bas wamefuja hela hiyo ya mkopo now anatia huruma
Binafsi yangu najione mzigo af namuonea huruma aunt yangu kibaya zaidi huyu mtoto anavuta bangi
Naomba ushauri uyo ni binamu yangu ana miaka 26 baba yake amefariki alafu mama yake wakambo ndio anawatunza sasa kilicho tokea huyu mtoto ana mdai mama wa kambo hela ya kulipia bima mpka wanagombana na mama yake nashindwa kuelewa kabisa
Huyu mtoto alipelekwa chuo mliman pale akachezea alikuwa anapata mkopo yeye akaona Bora atafute jimama akae nae bas wamefuja hela hiyo ya mkopo now anatia huruma
Binafsi yangu najione mzigo af namuonea huruma aunt yangu kibaya zaidi huyu mtoto anavuta bangi