gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Hizi siyo tetesi mkuu, hizi ni habari za uhakika. Niliposema serikali inataka kutunga sheria ya kuthibiti vyama vya upinzani sikuoteshwa niliambiwa na mtonyaji huyo huyo. Mwezi moja baadaye kamati ya nchimbi imekuja na pendekezo lile lile. Na lengo la ni mbaya sana dhidi ya Chadema. Time will tell.
sasa kwani upinzani ni cdm tu?? tuache kutaka huruma za wananchi bali tujitume kwa bidii katika kujenga chama imara kwa uwajibikaji kila siku kuja na heading zenye uonyesha kwamba cdm wanaonewa hakuwafanyi watu waiamini cdm kama mkombozi manake kwa aina hii huwez kuitofautisha cdm na mtoto mdogo ambaye muda wote anategemea huruma ya mtu mkubwa kumsaidia.