Mto waua watu 16 Kumamoto, Japan

Mto waua watu 16 Kumamoto, Japan

Miki123

JF-Expert Member
Joined
Apr 27, 2018
Posts
289
Reaction score
505
Mvua kubwa inayoonyesha japan jumamosi imepasua kingo za mto Kum.a kwenye jimbo la kumamoto na kusababisha uharibifu mkubwa wa miundombinu ikiwemo vifo.

Mpaka kufikia muda huu idadi ya watu 16 wamefariki, na pia mafuriko yaliyosababishwa na maji ya mto kum.a kusambaa.
_w850.jpg


Mvua kubwa zinazoendelea kunyesha kwenye jimbo la kumamoto pia zimesababisha nyumba nyingi kufunikwa na maji.
1593945221384.png


Mvua hizi zimeathiri sana watu wanaoishi karibuni na mto kum.a, na ripoti zingine zinaonyesha kuwa idadi huenda ikawa kubwa zaidi.

Kwa taarifa zaidi
At least 20 dead, 14 missing after floods in southwestern Japan
Fourteen dead in flooded Japanese care home
**** River (Japan) - Wikipedia
 

Attachments

  • 1593945222023.png
    1593945222023.png
    91.2 KB · Views: 22
Haya majapani nayo yamezidi ubaguzi kwa mtu mweusi ndio maana majanga ya mitetemeko inawaandama sana.

Ukiacha ubaguzi pia majina yao ya ajabu ajabu inachangia kuwapa nuksi. Ndio maana Nyerere alimmaindigi balozi wao flani miaka ya nyuma alipojitambulisha magogoni na hati ya diplomasia.

Mwalimu alipogundua anaitwa KumaMoto Tombambele alishikwa na ghadhabu na kumuamuru jamaa aondoke nchini mara moja. Chini ya masaa kumi na mbili
Hahaaa **** moto tombambele wewe jamaa chai sana
 
Back
Top Bottom