Source ni ww mwenyewe au TBC?
Kikombe Cha Babu 😀😁😂😃😄😅
Mwanagunumebakwa nini Mbona keleleeeeeeewaache mambo ya kipumbavu. lengo ni kuvuruga habari za uchaguzi wafanye madudu yao. ujinga wa kijinga hivi ulishapitwa na wakati. mikakati ya kijinga sawa na ya babu wa loliondo. kwani mto huu umeanza leo au upo miaka yote? wacha tumalize kwanza uchaguzi, tutakuja tu kunywa, labda mtuambie maji yatakauka kabla ya uchaguzi. pumbaaaaav!
Mkuu hongera sana kwa ulivyojitolea enzi hizo kumfunga paka kengele😄😄waache mambo ya kipumbavu. lengo ni kuvuruga habari za uchaguzi wafanye madudu yao. ujinga wa kijinga hivi ulishapitwa na wakati. mikakati ya kijinga sawa na ya babu wa loliondo. kwani mto huu umeanza leo au upo miaka yote? wacha tumalize kwanza uchaguzi, tutakuja tu kunywa, labda mtuambie maji yatakauka kabla ya uchaguzi. pumbaaaaav!
Kweli Mkuu nimefika huko kuna kitongoji nimekuta hiyo yaani ni kufyatua mapacha tu...very interestingHii nchi kwa vituko?