Mto Mapacha Huko Lugonesi Wilayani Tanganyika

Mto Mapacha Huko Lugonesi Wilayani Tanganyika

Kennedy

Platinum Member
Joined
Dec 28, 2011
Posts
59,168
Reaction score
69,672
Ni Mto Unaotiririsha Maji Chanzo Chake Kikiwa Ni Juu Ya Milima.
Wenyeji Wanasema Kila Mtu Anayekuja Kunywa Maji Basi Amejifungua Mapacha

*Kwa Wenye Mahitaji Ya Mapacha
Safari Iwe Wilaya Ya Tanganyika Kwenye Mto Mapacha

Wakina Mama Na Baba Ufumbuzi Huo Kuhusu Masuala Uzazi
Salehe Mhando Mkuu Wa Wilaya Ya Tanganyika Naye Amekwenda Kunywa Maji Ya Mto Mapacha

Angalizo Isijekuwa Kama Mambo Ya Loliondo

Chanzo : TBC

======

KUNYWA MAJI MTO MAPACHA, UZAE PACHA!

Uongozi wa wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi, umewaalika wataalam kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, kwenda kuyafanyia utafiti na uchunguzi wa Maji ya Mto Mapacha uliopo katika Kijiji cha Lugonesi Kata ya Mwese,kilometa 135 kutoka Mjini MPANDA ambayo baadhi ya wakaazi wilayani humo wanadai mtu anayekunywa maji hayo huzaa watoto mapacha.

Mkuu wa wilaya hiyo Salehe Mhando, ameiambia TBC kuwa wananchi zaidi ya 20 wameripotiwa kuzaa watoto pacha, baada ya kunywa maji ya Mto Mapacha na hivyo kuomba maji ya mto huo kufanyiwa utafiti.
 
Nasikia Kuna Mto Ukinywa Maji Unazaa Watoto Mapacha
Mke Wangu Angekuwa Hajazeeka Tungekunywa Tuzae
Lakini Wananchi Na Waandishi Kanyweni Mzae Tuongezeke
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
 
waache mambo ya kipumbavu. lengo ni kuvuruga habari za uchaguzi wafanye madudu yao. ujinga wa kijinga hivi ulishapitwa na wakati. mikakati ya kijinga sawa na ya babu wa loliondo. kwani mto huu umeanza leo au upo miaka yote? wacha tumalize kwanza uchaguzi, tutakuja tu kunywa, labda mtuambie maji yatakauka kabla ya uchaguzi. pumbaaaaav!
 
waache mambo ya kipumbavu. lengo ni kuvuruga habari za uchaguzi wafanye madudu yao. ujinga wa kijinga hivi ulishapitwa na wakati. mikakati ya kijinga sawa na ya babu wa loliondo. kwani mto huu umeanza leo au upo miaka yote? wacha tumalize kwanza uchaguzi, tutakuja tu kunywa, labda mtuambie maji yatakauka kabla ya uchaguzi. pumbaaaaav!
Utakuwa na Stress za Maisha siyo bure. Hii mada ina zaidi ya Mwaka hapa JF wewe unasema imeletwa kwa ajili ya Uchaguzi. Wahi Milembe kabla hali haijawa mbaya.
 
On my way with wife..... Nataka nifetue mbili mbili Sasa.....
 
Ni Mto Unaotiririsha Maji Chanzo Chake Kikiwa Ni Juu Ya Milima.
Wenyeji Wanasema Kila Mtu Anayekuja Kunywa Maji Basi Amejifungua Mapacha

*Kwa Wenye Mahitaji Ya Mapacha
Safari Iwe Wilaya Ya Tanganyika Kwenye Mto Mapacha

Wakina Mama Na Baba Ufumbuzi Huo Kuhusu Masuala Uzazi
Salehe Mhando Mkuu Wa Wilaya Ya Tanganyika Naye Amekwenda Kunywa Maji Ya Mto Mapacha

Angalizo Isijekuwa Kama Mambo Ya Loliondo

Chanzo : TBC

======

KUNYWA MAJI MTO MAPACHA, UZAE PACHA!

Uongozi wa wilaya ya Tanganyika mkoani Katavi, umewaalika wataalam kutoka Ofisi ya Mkemia Mkuu wa Serikali, kwenda kuyafanyia utafiti na uchunguzi wa Maji ya Mto Mapacha uliopo katika Kijiji cha Lugonesi Kata ya Mwese,kilometa 135 kutoka Mjini MPANDA ambayo baadhi ya wakaazi wilayani humo wanadai mtu anayekunywa maji hayo huzaa watoto mapacha.

Mkuu wa wilaya hiyo Salehe Mhando, ameiambia TBC kuwa wananchi zaidi ya 20 wameripotiwa kuzaa watoto pacha, baada ya kunywa maji ya Mto Mapacha na hivyo kuomba maji ya mto huo kufanyiwa utafiti.
Km uwezo w kuzaa huna pia itaweza kufanya unawe noa
 
Back
Top Bottom