Simu yako ukiweka line inasemajemsada mwemye ujuz wa kutumua app ya mtk engineering mode kufaulixha rain isapot .......
Kiaje sijakuelewanatakAa isapotii bando
Vifurushi havihusiani na MTK Engineering Tools mkuuvifurudhi vya mwezi kwa bei rahc kama unafaham
Wewe ndo unataka urahisi wa kupata bando. Hakuna urahisi wa namna hiyo Boss MTK Engineering tools ni collection ya settings ambazo sinaifanya simu yako ifanye kazi inavyopaswa. Bando linakuja baada ya simu yako kuwa inafanya kazi sawasawa...ukielewa hicho sidhani kama utaona zigzagHmm..hii thread ngumu,naona zigzag
Aseee,narudia tena,hii thread naona zigzag walahi.Wewe ndo unataka urahisi wa kupata bando. Hakuna urahisi wa namna hiyo Boss MTK Engineering tools ni collection ya settings ambazo sinaifanya simu yako ifanye kazi inavyopaswa. Bando linakuja baada ya simu yako kuwa inafanya kazi sawasawa...ukielewa hicho sidhani kama utaona zigzag
Hakuna kitu hicho man labda app ya Dent inayoawa vocha za bure mpaka buku5kuna jamaa anatumia hii app kununua vifurushi ila hua anatumiwa code na jamaa fulani hivi, dah ila watu wanapiga pesa nchi hii
sina sababu ya kudanganya, vufurushi vya halotel nanunua kwake kila mwezi, ungekua karibu na nilipo ningekukutanisha naeHakuna kitu hicho man labda app ya Dent inayoawa vocha za bure mpaka buku5
vifurudhi vya mwezi kwa bei rahc kama unafaham