Magufuli sio kama hao walafi, walaghai, wanafuatana na waandishi maelf kama wanaonesha mazingaombwe. Wanatafuta publicity za kinafiki kuwalaghai watu wafanye makosa kwenye maamzi
Magufuli sio kama hao walafi, walaghai, wanafuatana na waandishi maelf kama wanaonesha mazingaombwe. Wanatafuta publicity za kinafiki kuwalaghai watu wafanye makosa kwenye maamzi
Atakayepata wadhamini mia nne hamsini wanaotakiwa kwa mikoa husika au atakayepata wadhamini laki tano kwa mikoa ile ile wote ujira wao ni mmoja. Kubeba wadhamini kama Lowassa na Membe wanavyofanya, ni upunguani.