Mtizame Magufuli alivyopata wadhamini Iringa Vijijini

Camalillo

Member
Oct 12, 2013
90
83
DSC_2812.JPG
DSC_2680.JPG
DSC_2649.JPG
DSC_2627.JPG
DSC_2615.JPG
DSC_2839.JPG
DSC_2792.JPG
 
Vijijini watu ni wa chache
Vijijini huamini kazi kama hizi hufanywa na wakina baba
Kwa kijijini hawa ni watu wengi sana
 
Magufuli sio kama hao walafi, walaghai, wanafuatana na waandishi maelf kama wanaonesha mazingaombwe. Wanatafuta publicity za kinafiki kuwalaghai watu wafanye makosa kwenye maamzi
 
Magufuli sio kama hao walafi, walaghai, wanafuatana na waandishi maelf kama wanaonesha mazingaombwe. Wanatafuta publicity za kinafiki kuwalaghai watu wafanye makosa kwenye maamzi

Kama ni kweli anaenda kwa mtindo huu, atakuwa anawakosha watanzania!
 
Atakayepata wadhamini mia nne hamsini wanaotakiwa kwa mikoa husika au atakayepata wadhamini laki tano kwa mikoa ile ile wote ujira wao ni mmoja. Kubeba wadhamini kama Lowassa na Membe wanavyofanya, ni upunguani.
 

Similar Discussions

0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom