William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
na aende afundishwe sheria maana naye ni misifa tu
Halakini wabunge wamemuomba awaachie hii ishu kwa sababu akifika mahakamani jaji atazuia kumtesa tena na maneno kama wanavyofanya sasa hivi, kabla ya kumfikisha huko,
According to the dataz ni kwamba Mtikila amekubali ujumbe huo wa wabunge, Mods mnaweza kuiunganisha ikibidi,
later wakuu, niko safarini nilisimama kidogo tu baada ya kupata dataz! bari niliyoipata sasa hivi ni kwamba Mtikila alitaka kumburuza Mkapa mahakamani,
Mwanzo wa maumivu, itabidi chonya aanze kujipanga pa kukimbilia
na aende afundishwe sheria maana naye ni misifa tu
Mafisadi wanarudisha fedha,
Akaunti haiwi public
Balali yupo huru wala hatafutwi
Balali kaamua kufa
Serikali inaapa balali kafa wala hajauawa (kaaaz kwelikweli)
Chonya anadai tunamsingizia kuanzisha ANBEN Co. Ltd
SISI TUNATAKA HELA ZETU NA MAADILI
Mafisadi wanarudisha fedha,
Akaunti haiwi public
Balali yupo huru wala hatafutwi
Balali kaamua kufa
Serikali inaapa balali kafa wala hajauawa (kaaaz kwelikweli)
Chonya anadai tunamsingizia kuanzisha ANBEN Co. Ltd
SISI TUNATAKA HELA ZETU NA MAADILI
Mkuu ES hawa wamemkataza kwamba wata deal na issue ama wamemkataza kwamba tumwache Mzee Mkapa apumzike baada ya miaka 10 ya wizi ?
According to the dataz ni kwamba, Mtikila leo ametoa tamko zito sana against Mkapa na ufisadi wake, it was so strong kwamba akaweza kupata attention ya taifa na vyama, vyote vya siasa na hasa alipomalizia kwa kusema kuwa yeye binafsi anajitayarisha kumburuza Mkapa mahakani, kwa sababu anao ushahidi wa kutosha,
Wabunge wengi ambao wanajitayarisha kumtwanga Mkapa, wakam-reach out Mtikila behind the scene, na kumuomba sana kuwa akifanya hivyo sasa it is a good thing, lakini tatizo ni kwamba Mkapa, atawaomba majaji legally kupiga marufuku viongozi wa siasa kusema anything on ufisadi wa Mkapa, mpaka kesi itakapokwisha ili wasi-influence wazee wa mahakama, au uamuzi wa mahakama, that is not the strategy ya wabunge hao kama 20 hivi,
The strategy ni kumtwanga pole pole kwa kutoa ufisadi wake kwa public, kabla ya kufikia hatua ya wabunge hao kumfikisha kwenye sheria, kama walivyomfanya kwenye bandari, Mtikila akakubali under one condition, kwamba anawapa muda maalum, wakishindwa hatawauliza ila ataenda moja kwa moja kwenye sheria, wabunge wakakubali hiyo compromise,
Binafsi ninamuaminia kuongozi wa wabunge hao, aliyenipigia simu nikiwa safarini, ninaamini kuwa hii ni hatimaye one solid step forward kuelekea kwenye ukweli wa ufisadi wa Mkapa, knowing kwamba ni innocent until proveni guilty! Na wengi tunasubiri kwa hamu hiyo siku, Mkapa amefanya kosa kubwa sana kuzungumza, waliokuwa wanamkingia kifua ndio waliokuwa wakimtaka anyamaze kimya sasa amemamua kuzungumza kwa sababu ameamini kuwa wale wale wanaomkingia kifua ndio wanaolikisha habari zake kama tulivyosema, kwa hiyo akaamua to hell with them,
I mean sasa amewapa sababu kubwa ya kunawa mikono kuwa hawawezi tena kumsaidia, lakini the big question ni Mkapa anajiamini nini? Na kwa nini hakugusa any specific charges kwenye maneno yake makali huko jimboni kwake? Ina maana kwamba anajua kuwa kesi ni inevitable, inakuja ndio maana hakugusa kabisa charges, the confidence anaitoa wapi huyu? Yale yale ya Balali, kwamba anajua ya wengine, je hao wengine watamuacha au kumpa nafasi ya kwenda kusema kwenye sheria?
Ndugu zangu wananchi, hapa tunahitaji kuwa makini sana na from now on kuanza kumfuatilia Mkapa kila kona anyopita na anlofanya, nina wasi wasi kuwa yatarudia yale yale ya Balali hapa, haya ni maoni yangu tu binafsi!
Ahsanteni Wakuu, lakini tutaendelea kuifuatilia hii habari kwa karibu zaidi.
Mtikila ametumwa na Rostam Azizi amtukane Mkapa ili kuhamisha mjadala. Pia ametumwa afungue kesi dhidi ya Mkapa ili bunge na serikali viwe na mipaka ya kuzungumzia masuala ya EPA na mengineyo. Hii ni kwa sababu kinara wa yote ni Mkapa. It is an exit strategy. Lakini wasilolijua ni kuwa yakienda mahakamani, watavuta muda na kunyamazisha kwa muda lakini kifo cha huko mbele kitakuwa kibaya zaidi kwa Mkapa na kila kitu kitamrudia na Rostam mwenyewe. Tusubiri tuone, wakitengeneza mitego na kujitega
Tumewauliza mara chungu nzima waweke hadharani list ya majina ya hao waliorudisha hizo $60 million, lakini inaonekana ilikuwa ni changa la macho tu hawajakusanya chochote!!! Pia tuliomba tuambiwe pesa hizo zimewekwa kwenye bank ipi na account namba yake ili bank hiyo iweze kuwathibitishia Watanzania kwamba kweli katika bank hiyo wana account namba hiyo ambayo balance yake ni hizo $60 millioni lakini wameshikwa na kigumuzi cha kifisadi!!!
Mkapa hapaswi kupelekwa na mtu mmoja anapaswa kupwelekwa na jopo au wabunge. Hili la kumkataza lina akili sana.
Lakini vile vile nampongeza Mtikila kwa initiative zake.
Nakubaliana na wote waliochangia kuhusu huyu mzee kupelekwa/kuburuzwa mahakamani.Ila kuna hili jambo moja linamitatiza sana,wabunge wamsema asiende mtu mmoja wao watlishughulikia,kwa style ya donoa donoa,mpaka lini hiyo?
na pia wasisahau nguvu yetu wapiga kura nayo inatakiwa hapo.Je wamjipanga vipi kwapa somo waliowengi, na hasa wale wa vijijini kama kule alikokwenda kuungurumia huyu Fisadi.Kwa tathmini ya haraka wanaweza wakawa hawajui hata balali kama kafa na pia taarifa nyeti kama hizi haziwafikii.na kuna uwezekano kiwango cha elimu ya kuchambua mambo ni mdogo.