inategemea post yako uliyoomba ,i have done written interview twice & i experience the same questions nilikuwa shocked mpaka nahisi ile ya pili nilishindwaJamani kila siku najiuliza kuhusu mtihani wa mchujo wa utumishi, unakuwa na mhundo gani?
maana watu ni wengi na wanasiku moja ya kusaisha na kuwainterview waliopasi.
Kama kuna mdau amewahi kufanya tafadhali nitoe ushamba
inategemea post yako uliyoomba ,i have done written interview twice & i experience the same questions nilikuwa shocked mpaka nahisi ile ya pili nilishindwa
kama ni interview ya accountants,internal audit for senior &assistant level please ni pm nitakutumia maswali yote matano ndugu yangu
acha uchoyo ndugu!si uweke hapa wote tuone?au ndo unasaka umaarufu