Jamani wadau hili swala limekuwa likinishangaza sana kwa jinsi serikali yetu inavyodidimiza elimu kupitia mtihani wa kidato cha pili kwa kuruhusu hata waliochini ya wastani husika kuruhusiwa kuendelea kidato kingine.
Mwaka huu imesemekana kuwa watakaofeli mtihani huo watashindwa kuingia kidato cha tatu,lakin ajabu yake mpk sasa sijajua kama nyaraka ziko mashuleni juu yakurudia kidato au la!Mwenye uhakika na swala hili jamani tujulisheni.
Mwaka huu imesemekana kuwa watakaofeli mtihani huo watashindwa kuingia kidato cha tatu,lakin ajabu yake mpk sasa sijajua kama nyaraka ziko mashuleni juu yakurudia kidato au la!Mwenye uhakika na swala hili jamani tujulisheni.